Karibia 75% wamelishwa maneno kuhusu issue ya huo mkataba na wala sio kwamba wameusoma wenyewe na kuuelewa kisha wao wenyewe wakabaini hayo mapungufu.Kwa ni usiseme serikali imeshindwa! Simple as that.
Serikali inayolea wezi, inashindwaje kuingia mkataba wa kifisadi?!
Hoja yako dhaifu.
Kumbukumbu wanaolalamika ni wapinzani, raia wa kawaida na viongoz wa dini! NB: Mbona wezi na mafisad hawalalamiki kuhusu hii kitu? Tumeona dhahiri shahiri ufisadi upo ndan ya taasis refer report ya CAG. Na sio ndan ya wapinzani, raia wa kawaida na viongoz wa dini!!Baada ya kufanya utafiti mdogo imebainika kuwa wengi wa wapiga kelele kuhusu bandari ni wale walio zoea kupitisha mizigo kimagendo yaani kupitisha mizigo kwa kukwepa kulipa malipo halali.
Lakini wengine ni lile kundi ambalo lina danganya nyaraka mfano mtu kaingiza kontena 100 akidai kwamba ndani zina mtumba lakini kati ya hizo kontena 100 kuna kontena 20 au 40 ndani zina magari ya kifahari mtakumbuka makontena yaliyo kamatwa ndani yakiwa na range rover mpya wakati yalisadikika ni mitumba ya furniture.
Kundi lingine ni wale wanufaika wa rushwa na wizi hapo bandarini katika uendeshaji na usimamizi na ndio maana kama mnakumbuka hata wakati wa zama za magufuli kulikuwa na kesi ya mita za kusoma mafuta kuhujumiwa kila mara
Lakini pia kuna taasisi za kidini ambazo pia kupitia msamaha wa kodi zilikuwa zina pitisha bidhaa binafsi kwa mgogo wa taasisi wakati huo kilichomo ndani ya kontena sicho kunacho paswa kuwepo
Hao ndio wengi wanapiga sana kelele maana wanaziona kabisa dalili ya mirija yao kuziba
Wanzania ni wezi na wabinafsi hatuna uwezo wa kusimamia miradi ya serikali huo ndio ukweli
NASHANGAA KWANINI TRENI YA MWENDO KASI DAR -MORO BADO HAIJAANZA KUFANYA KAZI HADI SASA = JIBU hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushiriliana na TRC
#NASHANGAA KWANINI MAPENDEKEZO YA NAULI YA TRENI YA MWENDO KASI NAULI ZILIKUWA GHALI MARA MBILI YA MABASI =JIBU Hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushirikiana na TRC
Kwa style hii bora tuwape wawekezaji nalubariki hilo 100%
Nilikubaliana na hoja yako kuwa watanzania ni wezi, na wameshindwa kuendesha miradi miaka 60.Karibia 75% wamelishwa maneno kuhusu issue ya huo mkataba na wala sio kwamba wameusoma wenyewe na kuuelewa kisha wao wenyewe wakabaini hayo mapungufu.
Ndivyo ilivyo ukiona mapovu mengi kuhusu jambo fulani ujue mara nyingi hao ndio wanufaika wakuu wanahofia kupoteza !!Baada ya kufanya utafiti mdogo imebainika kuwa wengi wa wapiga kelele kuhusu bandari ni wale walio zoea kupitisha mizigo kimagendo yaani kupitisha mizigo kwa kukwepa kulipa malipo halali.
Lakini wengine ni lile kundi ambalo lina danganya nyaraka mfano mtu kaingiza kontena 100 akidai kwamba ndani zina mtumba lakini kati ya hizo kontena 100 kuna kontena 20 au 40 ndani zina magari ya kifahari mtakumbuka makontena yaliyo kamatwa ndani yakiwa na range rover mpya wakati yalisadikika ni mitumba ya furniture.
Kundi lingine ni wale wanufaika wa rushwa na wizi hapo bandarini katika uendeshaji na usimamizi na ndio maana kama mnakumbuka hata wakati wa zama za magufuli kulikuwa na kesi ya mita za kusoma mafuta kuhujumiwa kila mara
Lakini pia kuna taasisi za kidini ambazo pia kupitia msamaha wa kodi zilikuwa zina pitisha bidhaa binafsi kwa mgogo wa taasisi wakati huo kilichomo ndani ya kontena sicho kunacho paswa kuwepo
Hao ndio wengi wanapiga sana kelele maana wanaziona kabisa dalili ya mirija yao kuziba
Wanzania ni wezi na wabinafsi hatuna uwezo wa kusimamia miradi ya serikali huo ndio ukweli
NASHANGAA KWANINI TRENI YA MWENDO KASI DAR -MORO BADO HAIJAANZA KUFANYA KAZI HADI SASA = JIBU hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushiriliana na TRC
#NASHANGAA KWANINI MAPENDEKEZO YA NAULI YA TRENI YA MWENDO KASI NAULI ZILIKUWA GHALI MARA MBILI YA MABASI =JIBU Hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushirikiana na TRC
Kwa style hii bora tuwape wawekezaji nalubariki hilo 100%
Bandari ni mali asilli za Taifa nadhani kuna mengi ya kujifunza kwenye hili kumbuka bandari nyingi zinaunganisha nchi zingine kama lango la kuingiza na kutoa bidhaa, (logistic business),kuna mambo ya usalama hapo mimi napendekeza kuwe na ubia wa kibiashara utengenezwe muundo ambao ni rafiki lakini siyo kuwaachia wao kuendesha peke yao . In entrepreneurship we learn how to do business not about businessBaada ya kufanya utafiti mdogo imebainika kuwa wengi wa wapiga kelele kuhusu bandari ni wale walio zoea kupitisha mizigo kimagendo yaani kupitisha mizigo kwa kukwepa kulipa malipo halali.
Lakini wengine ni lile kundi ambalo lina danganya nyaraka mfano mtu kaingiza kontena 100 akidai kwamba ndani zina mtumba lakini kati ya hizo kontena 100 kuna kontena 20 au 40 ndani zina magari ya kifahari mtakumbuka makontena yaliyo kamatwa ndani yakiwa na range rover mpya wakati yalisadikika ni mitumba ya furniture.
Kundi lingine ni wale wanufaika wa rushwa na wizi hapo bandarini katika uendeshaji na usimamizi na ndio maana kama mnakumbuka hata wakati wa zama za magufuli kulikuwa na kesi ya mita za kusoma mafuta kuhujumiwa kila mara
Lakini pia kuna taasisi za kidini ambazo pia kupitia msamaha wa kodi zilikuwa zina pitisha bidhaa binafsi kwa mgogo wa taasisi wakati huo kilichomo ndani ya kontena sicho kunacho paswa kuwepo
Hao ndio wengi wanapiga sana kelele maana wanaziona kabisa dalili ya mirija yao kuziba
Wanzania ni wezi na wabinafsi hatuna uwezo wa kusimamia miradi ya serikali huo ndio ukweli
NASHANGAA KWANINI TRENI YA MWENDO KASI DAR -MORO BADO HAIJAANZA KUFANYA KAZI HADI SASA = JIBU hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushiriliana na TRC
#NASHANGAA KWANINI MAPENDEKEZO YA NAULI YA TRENI YA MWENDO KASI NAULI ZILIKUWA GHALI MARA MBILI YA MABASI =JIBU Hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushirikiana na TRC
Kwa style hii bora tuwape wawekezaji nalubariki hilo 100%
Utawashtaki wapi?. Dp world ingekuwa ni kampuni ya mzungu ungeongea haya maneno? Au unaleta ubaguziTanzania haiwezi kuuzwa
Waambieni waarabu wanaweza kuhonga utawala uliopa lakini nchi yetu tutairusha na hayo majangili tutayashitaki
Nakubaliana na wewe nikweli kabisa serikali imeshindwa hilo wala halina ubishi wowote uleNilikubaliana na hoja yako kuwa watanzania ni wezi, na wameshindwa kuendesha miradi miaka 60.
Swali, serikali si ndio inasimamia yote?! Kwa nini usiseme wazi kuwa serikali imeshindwa, tukodi na wazungu waje watuendeshee nchi?!
Pili, kama watanzania ni wezi. Mwizi gani anaweza kukuletea mkataba usio wa kiwizi?!
Naungana na wewe kwenye hiloBandari ni mali asilli za Taifa nadhani kuna mengi ya kujifunza kwenye hili kumbuka bandari nyingi zinaunganisha nchi zingine kama lango la kuingiza na kutoa bidhaa, (logistic business),kuna mambo ya usalama hapo mimi napendekeza kuwe na ubia wa kibiashara utengenezwe muundo ambao ni rafiki lakini siyo kuwaachia wao kuendesha peke yao . In entrepreneurship we learn how to do business not about business
Nakumbuka wakati Mwalimu yupo madarakani alipata kusema hivi-:Nilikubaliana na hoja yako kuwa watanzania ni wezi, na wameshindwa kuendesha miradi miaka 60.
Swali, serikali si ndio inasimamia yote?! Kwa nini usiseme wazi kuwa serikali imeshindwa, tukodi na wazungu waje watuendeshee nchi?!
Pili, kama watanzania ni wezi. Mwizi gani anaweza kukuletea mkataba usio wa kiwizi?!
If you do not know where you are going any road or path will take you there, (km uendako hukujui njia yoyote itakupeleka usiko kujua)Nakumbuka wakati Mwalimu yupo madarakani alipata kusema hivi-:
Kiongozi anapofanya teuzi mbalimbali katika nchi anakuwa ni sawasawa na mtu ambaye amechukua ndoo na kwenda kisimani kuchota maji,
Akifika kisimani ataiteremsha ile ndoo kwenye kisima kisha atateka maji na kuondoka nayo kwenye ndoo yake !
Ila ukumbuke kwamba hayo maji yaliyomo kwenye ndoo ndio hayo hayo kama yaliyobaki kisimani !
Hata ukiyamwaga utaenda kuyachota tena palepale kisimani ! Sijui Mwalimu alikuwa anamaanisha nini π π ! R.I.P Mwalimu πππ
Mbona Mashirika kadhaa yamwbinafsishwa. Hili la badari kelele zimekuwa mingi?Kwa iyo tumeshindwa kuthibiti yote hayo na suluhisho ni kubinafsisha?
Ni kweli kabisa tumeshindwakwa 100% na kwanini tumeshindwa ni kutokana na serikali kuendelea kulea wezi na mafisadi kwa sababu kwanza ni ma kada wa chama tawala wenye VVIP card na niwafadhili wakubwa wa chama na serikali.
Sawa twende na mawazo yako Watanzania wanaibaje hapo badarini tuelimishe tueleweMzeee mbona huelewi kiswahili ? Wewe unanisakama mimi kwani mimi DPWORLD au mimi ni TPA? Hebu jifunzeni kujadili mada na sio kumjadili mtu,
nimekupa uhuru hapo wewe andika yakwako unayo jua na mimi niandike ya kwangu lakini naona bado huelewi,
wewe andika hayo ya majukumu ya TPA na TRA kwa sababu unayajua vyema mimi nitaandika umuhimu wa kuachana na watanzania kwenye kusimamia miradi ya umma kwa sababu ya wizi na uhujumu ni hivyo tu mbona nimekuruhusu kuyaandika uanayo yajua sasa kashfa na manenobya kike ya nini hapa mzee , we tumia uhuru na ujuzi wako tueleze majukumubta TOA na TRA sisi ambao hatujui si ni hivyo tuu!
Hivi ni kweli Hujui kwamba ndani ya serikali wapo ambao hawajapenda kabisa bandari kupewa muwekezaji na hao ndio waathirika namba moja endapo kweli muwekezaje atawekeza na kuendesha bandari kisasa kama inavyo daiwa?Kumbukumbu wanaolalamika ni wapinzani, raia wa kawaida na viongoz wa dini! NB: Mbona wezi na mafisad hawalalamiki kuhusu hii kitu? Tumeona dhahiri shahiri ufisadi upo ndan ya taasis refer report ya CAG. Na sio ndan ya wapinzani, raia wa kawaida na viongoz wa dini!!
Tunaomba materials na Methods au Methodology uliotukua kufanya utafiti wako Mdogokufanya utafiti mdogo
Mimi nipo nalima huku Nanjilinji na ninaupinga huo mkataba kwa nguvu zote. Hayo maslahi niliyonayo kwenye Bandari ni yepi?
Hoja yako imepoteza uhalali