Wengi wanaotaka wake zao wasifanye kazi wana upeo mdogo wa kufikiri halafu ni wabinafsi

Mwanamke akiolewa ukoo automatically umepungua, na mwanaume akioa basi ukoo umeongezeka. Ukishatambua Hilo mambo mengine hayatokusumbua.

Nawakifanya hivyo nijambo laziada ambalo kwangu hatawasipofanya sintowalaumu.
Hizo ni blue print za mifumo dume ambazo umeaminishwa hivyo.

mtoto wakike alikuwa apelekwi shule sababu yeye alikuwa kama mtumwa tu itafika umri atachukuliwa na mwanaume kwenda kumtumikia.

Hii ni karne ya ngapi? Unataka dunia iendelee kuwa vile vile miaka 1000 nyuma?
 
Kutokufanya kazi ni kitu kigumu sana.

Hizo ni wishes tu ambazo kiuhalisia wa maisha hazipo, hakuna hata mtu tajiri Mke wake ambaye hafanyi kazi.

Kazi ni kipimo cha utu.
Tambua kitu kikiwa kigumu kwako haimaanishi ni kigumu kwa kila mtu

Mimi nimesema nikija kuwa Bilionea mke wangu sitaki afanye kazi yoyote, kama unabisha nipe billion 3 Halafu uone kama mke wangu atatoka kwenda kuhangaika na mafoleni huko barabarani
 
Kwanini umeuliza kwamba ni jukumu lake? Kuna limit ya kuhudumia ndugu zako?
Mbona wanaume tunatuma pesa nyumbani kwetu na tunahudumia

Asipofanya kazi yeye kwao anawasaidia vipi?
Kunakitu ndhani hukifahamu, mnapofunga ndoa mke na mume, tayari mmtoka katika familia zenu mnakuja kuanzisha familia yenu. So jukumu lenu kuu ni kuihudumia hii familia yenu.
 
Tambua kitu kikiwa kigumu kwako haimaanishi ni kigumu kwa kila mtu

Mimi nimesema nikija kuwa Bilionea mke wangu sitaki afanye kazi yoyote, kama unabisha nipe billion 3 Halafu uone kama mke wangu atatoka kwenda kuhangaika na mafoleni huko barabarani
Kama yupo mtu ambaye hafanyi kazi hapa duniani basi tuonyeshe.

Tuishie hapa mkuu” kama unabisha nipe bilion 3 Halafu uone kama Mke wangu atatoka kwenda kuhangaika”

😀Hongera mkuu
 
Kutokufanya kazi ni kitu kigumu sana.

Hizo ni wishes tu ambazo kiuhalisia wa maisha hazipo, hakuna hata mtu tajiri Mke wake ambaye hafanyi kazi.

Kazi ni kipimo cha utu.
Hakuna tajiri na hatokuwepo pale Top 10 ambaye mkewe anafanya kqzi nje ya himaya yake...Nikiwa na maana biashara zake.. Hakuna hilo usidanganywe.!

Matajiri wengi wake zao wapo kweny management ya biashara zao ... Magufuli tu alimwachisha mkew ualimu..
 
Ndio maana nilimjibu huyo jamaa alisema Mke wake yeye hatafanya kazi.

Nikaomba anionyeshe mtu ambaye hafanyi kazi kabisa.
 
Kunakitu ndhani hukifahamu, mnapofunga ndoa mke na mume, tayari mmtoka katika familia zenu mnakuja kuanzisha familia yenu. So jukumu lenu kuu ni kuihudumia hii familia yenu.
Umenena vyema!
Kesi ikibaki hivi hupaswi kuhangaika na familia yako kwa aina yoyote ile sababu mbahudumia familia yenu.
Na uhakikishe Mke wako anapata matunzo yote.
ILA kama ni hawa tunaowaona mtaani Mke nguo mpaka inaisha, mafuta hakuna huna sababu ya kumkataza
 
Ndio maana nilimjibu huyo jamaa alisema Mke wake yeye hatafanya kazi.

Nikaomba anionyeshe mtu ambaye hafanyi kazi kabisa.
Maana ukiangalia k lyn aliachishwa kazi ya mziki na Mengi ili kumsaidia baadhi ya biashara...Lazaro nyalandu nae yule kamchukua Faraja kotta ndio maana unamuona kimya ila anasimamia biashar za mzeee....Wale waarabu huwezi kuona wake zao ila wapo kweny biashara za wanaume zao .


Rejea kuna kipato ukiwa nacho ni best akasimamia ,mke kuishi nae karibu ni bora kuwa kama partner wako kweny biashara ila hizi ajira mara kahamishwa mkoani ni utapeli hazifai.
 

Kama yupo mtu ambaye hafanyi kazi hapa duniani basi tuonyeshe.

Tuishie hapa mkuu” kama unabisha nipe bilion 3 Halafu uone kama Mke wangu atatoka kwenda kuhangaika”

😀Hongera mkuu
Wapo wengi hawana hata idadi. Usipende kulazimisha kila mtu aishi kama unavyotaka wewe
 
Wapo wengi hawana hata idadi. Usipende kulazimisha kila mtu aishi kama unavyotaka wewe
Mkuu Miti
Mimi sijakataa nilitaka kumuona huyo mtu ambaye hafanyi kazi.
Tutajie ili wote tufahamu.

Maana matajiri wote wakubwa duniani wake zao wanafanya kazi ndio nikataka kujua huyo mtu ambaye hafanyi kazi kabisa ni nani?
 
Hawa vijana walamba lips wa kipindi hiki hawatakuelewa sababu wanataka majukumu yao yabebwe na wake zao.

Mwanamke ni pambo la nyumba ikiwa na maana yeye mwenyewe apendeze, awaweke watoto wakiwa safi, mume wake aende kazini akiwa msafi wa mwili na akili pamoja na usafi wa ndani.

Mwanamke huyu akienda kazini nani atafanya hayo?
Kama ni hivyo si angebaki kwa wazazi wake afanye kazi ili asomeshe wadogo zake 🤔
 
Sasa hapa inategemea mtu mwenyewe, nakupa mfanohai, mimi mwenyewe nilikataa mke wangu kufanya kazi, kwa sasa namgai laki moja na nusu kila mwezi, hiyo ni hela yake binafsi atumie atakacho simuulizi, na walanhaijotoke mwezi nakaiaitisha na hii hela hua inapanda kila baada ya muda flani.
 
Mkuu Accumen,

Unajua jamaa amesema Mke wake hatafanya kazi kabisa.

Ndio maana nikataka kujua hicho kiumbe ambacho hakifanyi kazi na kipo na afya au wewe tusaidie
 
Ni mawazo yako,na yanaweza kua ni ya kipuuzi kwa wengine,kama wewe una ndugu au rafiki amekwama kwakua anawajibika peke yake,nenda kaseme nae huyo,usiwasemee watu,wako wanaoweza kuja hapa na wakakupa masaibu ya unacho jitetea nacho
 
Hakika hili ni jambo jema.
Mimi Mke wangu huwa tukiamka kila siku tunaondoka maana tunafanya kazi sehemu moja na yeye ndio msimamizi wa biashara.

Hili unalofanya wewe ni wanaume 1% wanafanya hivi, wanawake wengi mpaka nguo, au lotion au gel yakuogea wanakosa na bado n mwanaume anakazana hataki mke afanye kazi.

Hongera sana mkuu
 
Mkuu Miti
Mimi sijakataa nilitaka kumuona huyo mtu ambaye hafanyi kazi.
Tutajie ili wote tufahamu.

Maana matajiri wote wakubwa duniani wake zao wanafanya kazi ndio nikataka kujua huyo mtu ambaye hafanyi kazi kabisa ni nani?
Acha ubishi wa kijinga.

Nimekuambia nipe billion 3 Halafu uone kama mke wangu atatoka kwenda kuhangaika na mafoleni huko barabarani.

Kama huna hiyo hela subiri mimi nitakapopata utaona mke wangu hafanyi kazi yoyote

Huu ni msimamo wangu usitake kunipangia mimi maisha
 
Mkuu Accumen,

Unajua jamaa amesema Mke wake hatafanya kazi kabisa.

Ndio maana nikataka kujua hicho kiumbe ambacho hakifanyi kazi na kipo na afya au wewe tusaidie
Nadhani anamaanisha kazi za kuajiriwa, maaba kazi za ndani tu pekeyake zinatosha na ndio maana watu wanaajiri madada wakazi na wanawakipa kwakua kazi za ndani pekeyake na nyingi. Kibwa hapa wale wanaokataa wake zao wasiajiriww basi wawe wanawakipa kulingana na vipato vyao.
 
Ni mawazo yako,na yanaweza kua ni ya kipuuzi kwa wengine,kama wewe una ndugu au rafiki amekwama kwakua anawajibika peke yake,nenda kaseme nae huyo,usiwasemee watu,wako wanaoweza kuja hapa na wakakupa masaibu ya unacho jitetea nacho
Safi kabisa
 
Kazi yake kubwa nimesema itakuwa ni kula, kulala na kufanya mazoezi ya viungo
 
Mimi ni mtu wa mwsho wa mwezi, nikipokea mshaara kitu cha kwanza natoa hela ya matumizi ya nyumbani namkabizi wife pamoja na hela yake binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…