Nashukuru Mungu nimetimiza haki yangu kikatiba, Udiwani na Ubunge nimechagua CCM, Urais nimempa Lissu.


Najua Lissu hawezi shinda ila nimempigia kumuonyesha kuwa kuna watu tupo pamoja na yeye ingawa tupo CCM.

Kama uko pamoja naye kwanini usimwalike

mkanywe alikasusu.
 
Majina yalibandikwa vituoni siku chache kabla ya leo, je alienda kuhakiki?
 
Ndugu kwanini upoteze muda wako wa kusimama

kwenye foleni halafu umchague mtu ambaye

unajua kabisa hashindi!


Magufuli5tena
 
Mapemaaa,asubuhi kabisaHalima Mdee kwisha habari yake.
Jimbo la kwanza kurudi CCM ni Kawe.
 
Sijalemba yani sijahangaika kusoma Kwingine
Nimemuona Jiwe nika tia Tick ya Maana sana Nadhani NEC wataniita Kuwa mtia tick bora Tanzania bara

Sahivi kuna Maandalizi ya Tafrija Fupi ya kupokea ushindi wa JPM
[emoji23][emoji23][emoji23]Umeua mkuu,

Amasterdam hana hamu saa hii
 
Unajua unachoongea, kwani watu kupuuza zoezi la kupiga kura ndio kuibiwa kura?
Si mlisema mwaka huu ccm watajua hawajui? Kumbe mlikuwa mna maananisha kususia zoezi?
 
John Heche, Chadema's Parliamentary Candidate for Tarime reports that homes of many polling agents in his area were invaded at night by the police who then detained them. As a result, there are no opposition agents in many polling centers.
Chai hii😁😁😁😁

Polisi walijuaje nyumba za hao mawakala?😁😁😁
 
Kituo nilicho pigia kura hakina watu kabisa.

Nimekuta watu 10 mimi nikiwa wa mwisho. Mpaka sahizi mtu ni moja mmoja sana. Mwitikio umekuwa mdogo sana watu kupiga kura
 
Ni niilichokiona hasa kwa wenye uono hafifi hasa watu wazima.

Hii ni kwenye karatasi ya Wagombea Urais, picha na maandishi ni madogo chini ya wastani. Kumtafuta na kumpata mgombea aloyeko katikati ni kazi kubwa kuliko kuona wa mwisho au wa mwanzo.
 
Nimerudi nyumbani nipo nimetulia tuliiii,naburudika.

Mawakala wa Amsterdam waliopo vituoni mpaka Sasa hawajanywa chai,nimewauliza kulikoni wanasema eti wamefunga
D, D, D, wamefunga funga ipi sasa,kwaresma au mweze wa ramadhani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…