Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wameshindwa kumuhoji aliyeshambuliwa wanamtafuta dereva wamtishe. Sitetei dereva kutokuhojiwa, lakini hakuna uchunguzi maana muhusika anaeleweka, na hakuna uwezo wa kumchukulia hatua labda ccm itolewe madarakani fullstop.So Dereva hatakiwi kuhojiwa?