Hawa watu ni Vilaza wakupindukiaTuacheni propaganda za kutafuta scapegoats za kushindwa na kuchafua jina la nchi kwa sababu za kipuuzi. Nashindwa kuelewa chama kisichokuwa na grassroots kudai kuwa kinaibiwa kura! Mwaka 1995 mimi nikiwa NCCR-mageuzi tulihamasika sana pale Dar tukajua Mrema atachukua nchi, lakini tukasahau kuwa tulikuwa maarufu Dara na miji michache tu kwani hatukuwa na network kuzunguka nchi yote. CHADEMA imerudia makosa hayo ya kudhani kuwa ushabiki wa kwenye mitandao ndio kura za nchi nzima; ng'o!
Hi i unaamini ulichoandika au ni frustration tu? Ulikuwa unategemea free and fair election? Wakati toka 95 ni michezo ile ile. Rudini kwenye uhalisia tokeni kwenye ndoto.Huu uchaguzi ni BATILI huyo anayejiita MWENDAWAZIMU akishirikiana na tumeccm na polisiccm wameuvuruga uchaguzi huu.
Iundwe Serikali ya mpito ya watu 5 hadi 10 kwa kipindi cha kati ya miezi sita hadi 12 ili waweze kuipitisha rasimu ya Tume ya Warioba kama Katiba yetu mpya kuja na namna ya kupata Tume huru ya uchaguzi na haya yakishakamilika ndiyo uchaguzi urudiwe.
Huyo Jiwe aondoke Ikulu haraka sana na asiwe na access na Serikali ya mpito ili kutunza ushahidi wowote kuhusu uhuni mbali mbali uliofanyika katika kuvuruga uchaguzi huu ikiwemo uchapaji wa karatasi za kupigia kura ambao unadaiwa kuna ufisadi wa hali ya juu wa billions za walipa kodi.
Ndio ukweli wenyewe....Maalim Seif anamgaragaza vibaya Hussein
Utamu wa ndoto huisha asubuhi.Maalim Seif anamgaragaza vibaya Hussein
Hawa jamaa source yao ni moja tu, Kigogo a.k.a Chahali.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mnahangaika na kigogo wenzenu wako field ujinga kweli nacho ni kipaji
Na tbccm pia usisahau mkuuHawa jamaa source yao ni moja tu, Kigogo a.k.a Chahali.
Na hakimu wa ni amustadamuHawa jamaa source yao ni moja tu, Kigogo a.k.a Chahali.
Mkuu lete evidenceArusha Lema ameshampasua Gambo. Kachukua mpaka halmashauri
Mpumbavu ni wewe unayebebwa ushabiki wa kizwazwa.Ficha Upumbavu wako
Dili na Hao Vibendera wako
Mfa maji hakosi kutapatapa. Mnalialia hata kabla ya kura kuhesabiwa. Unaeleza uchaguzi umearibiwa bila kueleza how na kwa ushahidi upi. Subirini uone chague la watanzaniaHuu uchaguzi ni BATILI huyo anayejiita MWENDAWAZIMU akishirikiana na tumeccm na polisiccm wameuvuruga uchaguzi huu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie banaUkweli ni mmoja, Chedema imeshinda lkn imenyimwa ushindi wake. Lissu kashinda amenyimwa ushindi wake.
Umeuona wapi huo UshindiUkweli ni mmoja, Chedema imeshinda lkn imenyimwa ushindi wake. Lisu kashinda amenyimwa ushindi wake.
Tunawaita Vilaza kwa sababu mojawapo kama hiyo Kuhisia kila mtu ni Lika lakoMpumbavu ni wewe unayebebwa ushabiki wa kizwazwa.
Nimekulia CCM tangu enzi za tanu...wewe umezaliwa 1990s unaleta nyenyee hapa
Kama sehemu zote wamewafukuza mawakala, unategemea nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie bana
Kitendo cha kuwafukuza mawakala ni ushahidi wa figisu za kupora ushindiUmeuona wapi huo Ushindi