Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020
Tuacheni propaganda za kutafuta scapegoats za kushindwa na kuchafua jina la nchi kwa sababu za kipuuzi. Nashindwa kuelewa chama kisichokuwa na grassroots kudai kuwa kinaibiwa kura! Mwaka 1995 mimi nikiwa NCCR-mageuzi tulihamasika sana pale Dar tukajua Mrema atachukua nchi, lakini tukasahau kuwa tulikuwa maarufu Dara na miji michache tu kwani hatukuwa na network kuzunguka nchi yote. CHADEMA imerudia makosa hayo ya kudhani kuwa ushabiki wa kwenye mitandao ndio kura za nchi nzima; ng'o!
Hawa watu ni Vilaza wakupindukia
Kutwa kudanganyana humu
Na ujinga wao
Kichapo kipo pale pale
 
Huu uchaguzi ni BATILI huyo anayejiita MWENDAWAZIMU akishirikiana na tumeccm na polisiccm wameuvuruga uchaguzi huu.

Iundwe Serikali ya mpito ya watu 5 hadi 10 kwa kipindi cha kati ya miezi sita hadi 12 ili waweze kuipitisha rasimu ya Tume ya Warioba kama Katiba yetu mpya kuja na namna ya kupata Tume huru ya uchaguzi na haya yakishakamilika ndiyo uchaguzi urudiwe.

Huyo Jiwe aondoke Ikulu haraka sana na asiwe na access na Serikali ya mpito ili kutunza ushahidi wowote kuhusu uhuni mbali mbali uliofanyika katika kuvuruga uchaguzi huu ikiwemo uchapaji wa karatasi za kupigia kura ambao unadaiwa kuna ufisadi wa hali ya juu wa billions za walipa kodi.
Hi i unaamini ulichoandika au ni frustration tu? Ulikuwa unategemea free and fair election? Wakati toka 95 ni michezo ile ile. Rudini kwenye uhalisia tokeni kwenye ndoto.
 
Wakuu nadhani wote tumeshuhudia sarakasi za kuhakikisha chama Tawala kinatengeneza mazingira ya kuhakikisha kila jimbo linanyakuliwa na chama tawala.

Angalia kuzuia mikutano kwa miaka mitano huku watawala wakipeta, kesi ya kupinga wakurugenzi kusimamia uchauguzi, wabunge kupita bila kupingwa, kauli za utata za NEC, upinzani kuadhibiwa kwa kusimamishwa siku 7, polisi kusumbua mikutano ya wapinzani, mabango nchi nzima, vyombo vya habari kugeuka kuwa media za chama Tawala huku zikiogopa kuripoti taarifa za upinzani.

Ni wazi serikali imeridhia wabunge wote nchi hii wawe wanatoka CCM na hofu yangu zaidi inakuja kutokana na kauli ya jiwe kuwa wakurugenzi awateue na wamtangaze mpinzani na usisahau mission yao ilianza tangu kuanza kupitisha wabunge bila kupingwa.

Hofu yangu kuna uwezekano uchaguzi huu wabunge wa upinzani wasifike hata kumi kama sio watano, ngoja tushuhudie picha kamili.
 
Huu uchaguzi ni BATILI huyo anayejiita MWENDAWAZIMU akishirikiana na tumeccm na polisiccm wameuvuruga uchaguzi huu...
Mfa maji hakosi kutapatapa. Mnalialia hata kabla ya kura kuhesabiwa. Unaeleza uchaguzi umearibiwa bila kueleza how na kwa ushahidi upi. Subirini uone chague la watanzania
 
Mpumbavu ni wewe unayebebwa ushabiki wa kizwazwa.

Nimekulia CCM tangu enzi za tanu...wewe umezaliwa 1990s unaleta nyenyee hapa
Tunawaita Vilaza kwa sababu mojawapo kama hiyo Kuhisia kila mtu ni Lika lako
Mmejawa na Ujinga ulio pitiliza
Mtoto wangu Wapili tu hajazaliwa hiyo miaka ya 90
Hahaha Muwe mnaficha Upumbavu wenu walau kidogo
Mmejawa na Ukibendera sana Yaani Kujiona wajuaji kisa Eti unaishabikia Chadema hovyo kabisa
 
Mambo yaliyojitokeza huku segerea yanasikitisha, zile mashine za kutengenezea vitambulisho vya kura zilibakia ofisi za kata leo hii zimetumika kusajili wanachama hewa ambao sio wakazi wa jimbo hili kisha ccm imefanyia njama kwa kuwapitisha kinyemela wawapigie kura
 
  • Thanks
Reactions: KGM
Back
Top Bottom