Haya hakuna anaeyaskiliza tena..potezea
Haya hakuna anaeyaskiliza tena..potezea
Hawakuwa na option nyingine mkuu..tusiwalaumu sana.Kwa kifupi chadema watajuta kumtanguliza Tundu Antipas Mughwai Lisu.
Mkuu "MbeyaIlembo" zoezi la kupora Uchaguzi huu liliratibiwa kibabe na Tume ya Uchaguzi kwa kuwezeshwa na vyombo vyetu vya Ulinzi. Mfano ni pale Halima Mdee wa Kawe alipokamata mabegi ya kura ambazo tayari Tume ya Uchaguzi iliwapigia wagombea wa CCM kwa niaba ya wananchi.Trend ipi mataga ya kuwatoa mawakala kwa nguvu?
Mtanzania Huru KifikraUmepigiwa simu wewe kama nani?