Hana la kukuambia weweLissu atulie tu na yeye. Hana lolote la kutuambia.
Fala sana we bintiHa ha ha haaaaaa. Kama ni hivyo basi kazingua sana
Tanzania mtu yeyote akitaka si anaivuruga tu au hujui hili?Akumbuke kutueleza ametumwa kuja kuivuruga Tanzania kwa misingi ipi? Pia kwanini anakuwa supported na war criminals na vibaka wa rasilimali za Afrika?
Wale watakaobahatika kupata zile ajira 13,000 za ualimu wanayo sababu ya kumkumbuka Lissu. Bila Lissu zile ajira zisingetangazwa, kuna mengine mengi ambayo upinzani wametusaidia kujua sisi kama wananchi wa kawaida.Lissu atulie tu na yeye. Hana lolote la kutuambia.
Mkuu, alishasema msisubiri tamko lolote kutoka kwake ama Kwa M/kiti chamaAtoe amri makamanda tuingie barabarani Ila atupe na maelezo ya hospital tukishaumia tukatibiwe bure na yeye asibaki nyuma tuwe nae bega kwa bega mpaka kieleweke hadi kura zitoshe kumpeleka chamwino ikulu
leta ushahidi kama katumwaAkumbuke kutueleza ametumwa kuja kuivuruga Tanzania kwa misingi ipi? Pia kwanini anakuwa supported na war criminals na vibaka wa rasilimali za Afrika?
Kwani akiipondea Kuna shida gani?Kitu pekee ambacho simkubali Lissu ni kua hana uzalendo, japo ameumizwa anajaribu kufanya maumivu yake kua ya nchi nzima.. na huko ataenda kuiponde raisi, ccm na mbaya zaidi anaweza kuipondea nchi kiujumla.
Tulishawazoea hata hivyo...Tundu Lissu piga spana mabeberu watume drone mbili tu, kumng'oa huyu jamaa.
Hata wizi wa kura sio huu, jimboni watu wmejindikisha kupiga kura 125,000 kura zimepigwa 400,000.
Mzalendo hawezi kununua ndege na kuzifungia kwenye banda ili zitage!Kitu pekee ambacho simkubali Lissu ni kua hana uzalendo, japo ameumizwa anajaribu kufanya maumivu yake kua ya nchi nzima.. na huko ataenda kuiponde raisi, ccm na mbaya zaidi anaweza kuipondea nchi kiujumla.
Ujitambui wamekufa,kutekwa na kupotezwa watanzania wangapi au mpaka atekwe,au apotee baba yako au mama yakoKitu pekee ambacho simkubali Lissu ni kua hana uzalendo, japo ameumizwa anajaribu kufanya maumivu yake kua ya nchi nzima.. na huko ataenda kuiponde raisi, ccm na mbaya zaidi anaweza kuipondea nchi kiujumla.
Waandishi wa Habari jamii ya Paskal ataripoti nini zaidi ya kutafuta teuzi?Media za kibongo hazitaripoti chochote.
Kwa matokeo haya ya uchaguzi, nchi ndiyo ishavurugika hiyo!Akumbuke kutueleza ametumwa kuja kuivuruga Tanzania kwa misingi ipi? Pia kwanini anakuwa supported na war criminals na vibaka wa rasilimali za Afrika?
Dah kimeumanaMtu mmoja asiwe sababu ya wengi kuharibu maisha Yao, tutampuuza kama tulivyo wapuuza kwenye Kura!
Tanzania ni sehemu ya Edeni, ni lazima kufahamu namna nzuri ya kuendesha siasa ukiwa katika nchi nzuri kama Tanzania...