Securelens
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 316
- 541
Ni kweli Sengerema imetangazwa Magufuli kapata kura 62 581 (87.56%) na Lissu kapata 7,711 (10.80%)Sijui ni sengerema, magufuli kapata 62 elfu hlf lisu kapata 7000 hivi!
Khaa!!!
Aiseee si mchezo!Ni kweli Sengerema imetangazwa Magufuli kapata kura 62 581 (87.56%) na Lissu kapata 7,711 (10.80%)
Huko Misungwi, Magufuli kapata 175,585 (98.72%)
huku Lissu akiambulia 1,217 tu (0.68%)
Tuliwaambia maji ya Magufuli ni marefu, CHADEMA hawakusikia.
Nimetoka kumsikiliza Lissu kasema watanzania ndio waliotemewa mate usoni, waamue kudai haki yao.Umeandika tu hisia zako . Hakuna dai polite ulilotoa na kuweka ushahidi uliothibitishwa. Banda ukapumzike usije ukaumia kwa pressure. Watanzania tumeamua
Alafu kuna bavicha waΔΌidai wanaenda shinda kanda ya ziwa, kule ndio huamua. Ukishinda kule kazi imeisha...Sengerema na Misungwi wametoa picha ya kanda ya ziwaNi kweli Sengerema imetangazwa Magufuli kapata kura 62 581 (87.56%) na Lissu kapata 7,711 (10.80%)
Huko Misungwi, Magufuli kapata 175,585 (98.72%)
huku Lissu akiambulia 1,217 tu (0.68%)
Tuliwaambia maji ya Magufuli ni marefu, CHADEMA hawakusikia.
Lissu badala ya kwenda Kariakooo kununua nyanya ilitakiwa aende kufanya kampeni za kimya kimya kuliko kutaka aonekane kwenye mitandaoNEC wameanza kutangaza matokeo ya Urais kutoka Majimboni. Kwa majimbo machache yaliyotangazwa, JP Magufuli amezoa atleast 78% ya kura zote.
Kuna majimbo ambayo Lissu kaambilia kura 1000 tu kati ya kura 71,000. What happened? Zile nyomi zote ilikuwa danganya toto? Hawa watu wanaibaje kura wakati CHADEMA iliweka mawakala?
Kuna la kujifunza na kuchukua hatua stahiki
Bila kulisahau TAGA Mayalla!Dokii alilia sana , naye pia afikiriwe
Umeandika tu hisia zako . Hakuna dai lolote ulilotoa na kuweka ushahidi uliothibitishwa. Nenda ukapumzike usije ukaumia kwa pressure. Watanzania tumeamua
Lissu na Amsterdam outNi kweli Sengerema imetangazwa Magufuli kapata kura 62 581 (87.56%) na Lissu kapata 7,711 (10.80%)
Huko Misungwi, Magufuli kapata 175,585 (98.72%)
huku Lissu akiambulia 1,217 tu (0.68%)
Tuliwaambia maji ya Magufuli ni marefu, CHADEMA hawakusikia.
πππAnaenda ingiza vijana mitaani
πππ
Jinga sana hilo Mbowe! Coward kabisa! Hata huyo Mnyika ofisini alikuwa anafanya nini? Chama chao kwenye vituo vingi tu hawakuwa na mawakala.Chama hakina viongozi serikali za mitaa, wabunge almost wote sjui wamenunuliwa , sjui wamejiudhulu chama kimeingia kwenye uchaguz hakipo organized kabisa , most of the time Lissu amefight alone , Mbowe hakuonekana kbisa jukwaan, sio mnyika na sio msigwa wote wapo kivyao unawezaje kushinda dhidi ya adui ambaye yupo well organized from the scratch?
Kuingiza watu barabani itawaletea Tu aibu kubwa na kushindwa vibaya Sana pale raia watakapowagomea. Kwanza most of people hawakuwa aware kabisa na maswala ya siasa kama tulivyokuwa tunaaminishwa humu, Jana Tu watu walikuwa busy na mahangaiko ya Maisha.
Kuna sehemu Lissu kapata buku tu jimbo zima. Sasa sijui kura zake zilitolewa kwenye mabox? CCM wametisha sana linapokuja suala la kushinda uchaguzi.Sijui ni Sengerema, Magufuli kapata 62 elfu hlf lisu kapata 7000 hivi!
Khaa!!!
Sana.Eti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana...
Ni magreat thinker tu ndo wanaweza kunielewa.Kwani nchi ni demu hadi ipoteze mvuto