ππππππππππππππππMbona umekuwa soft hivyo..huyo muache alie mpaka akili imkae sawa...mabeberu hawana nafasi.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Usisahau kuna alizo pigiwa na malaikaNa ukizijumlisha kwa pamoja jumla inakua ngapi mkuu
Tulitegemea lazima ajitetee!
Leta mahaba ila huo ndio ukweli ambao hawataki kuuzungumza.Haya ya leo ni matokeo ya maamuzi hayaπππππππAcha kutafuta sababu isiyo kwepo, wakati wa Slaa uongozi wa Mkapa na kikwete angalau ulikuwa na utu na kujali demokrasi na hiyo ndiyo unaona kama walikuwa makini. Uongozi wa sasa hauna utu Umejaa majivuni usiojali utu wa watu wake! kiongozi mkuu anajiona yeye ndiye pekee na hakuna kama yeye. Mtu kama MBOYE ni mangapi yamempata? angekuwa legelege kitambo sana angeunga juhudi.
Kwisha habari yako na Kibaraka wenu Lissu. Zanzibar Rais ni Mwinyi.... Poleni sana.Hakuna uchaguzi , ni dhuluma
Kwisha habari yetu!! Zanzibar Rais ni Mwinyi!
Msije kumteka MO mkasingizia CCM
Polisi OCD kamwambia mgombea wewe hushindi. Polisi huyo yupo KaziniChama hakina viongozi wa mashina unadhani kitapata wapi wapiga kura; hii ya kulalamikia polisi na NEC ni utoto sana. Unamkuta mtu anvunja sheria hadharani kwenye vituo vya uchaguzi halafu akishughulikiwana vyombo vya sheria analalamika.
Madhara ni kutetea mabeberuHana madhara huyu
Mtanyooka tu. Rais Zanzibar ni Hussein Ali Hassan Mwinyi
View attachment 1615551Hizo feki ulizipiga wewe? hamko serious, mawakala tu mmeshindwa kuweka afu bado mnajidanganya kwamba mnawatu...kazi za JPM tumezielewa, hakuna wapinzani nchini ila kunavibaraka vya mabeberu, refer waloyafanya mitandaoni wakati wa corona.
Ni hivi, niliwaambia wapinzani miaka 10 iliyopita, hawawezi kushinda kwa muundo uliopoFeelings are not facts, ni muhimu kulitambua hilo, hao wananchi mnaowasemea kila siku kwamba ,,wana chuki na Raisi Magufuliββ wako wapi? Mbona hatuwaoni popote si Mitaani si kwenye kura, si kwenye Daladala si kwenye Familia, sasa wako wapi?
Najua mna chuki na hasira kushindwa lkn unafikiri ninyi hamna kosa hata kidogo kwenye kushindwa kwenu?
Tundu lisu kaleta Muzungu kamtambulisha kwetu na Muzungu anamtisha Raisi JMTZ unafikiri sisi tutakubali?
Hivyo usiache feelings zako kugeuka kuwa facts, ni kweli mna machungu lkn ndio maisha hayo, ...
Kwa kuengua hata mawakala kura zitoke wapi jombi?
Mimi ningekua mwanachama wa upinzani nisingekubali hiyo excuse ya wizi wa kura kwa sababu
1.Huu sio uchaguzi wa kwanza kwa wapinzani kushiriki, haiwezekani mnarudia kuongea vitu vilevile kila uchaguzi
2.Sababu ya pili aina zote za malalamiko ninazozisikia ni wazi kwamba upinzani hawana wanachama au hawana wanachama watiifu au hawajawalea wanachama wao kwenye misingi imara ya uzalendo kwa chama chao na kwa nchi yao. Mtaji wa chama ni wanachama Yaani wananchi. Kama mnasema hΓ ohao wananchi ndio wanashiriki wizi ni wazi kabisa hamkubaliki wala hamuaminiki
Jifunzeni kwa wenzenu CCM, kwao linapokuja swala la chama wanakua familia moja mnayoongea lugha moja. Mngejua juhudi walizokua wakifanya CCM kwa zaidi ya miaka2 huku mtaani mngeachana na hizo propaganda za viongozi wenu wachumia tumbo
Wana CCM wamefanya kazi kubwa sana kutoa hamasa, kurudisha heshma ya chama chao na kuongeza idadi ya wanachama
Hongera kwetu sote Comrade[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera sana Comred Mulokozijr12 kwa ushindi wa kishindo
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]