General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Mwaka huu sijashiriki mambo ya siasa tangu Lowasa aliponiangusha akarudi CCM, jambo lililoniumiza zaidi ni kumuweka Lissu wa mwisho kwenye list, hiyo ndo sababu itakayofanya nimchague hata kama hatashinda, nitamuongezea asilimia.
Lissu anashinda Mkuu