Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020
Wale mnaoshindwa kuingia kwenye mitandao.kisa imefungwa .kuna member humu kashauri tudownload apkpure app.
Kweli nimedownload imefanya kazi
Screenshot_20201028-082700.jpg
 
Mimi mwenyewe nipo njian, labda waniteke kama kawaida yao.
Kachinje tumrudishe chato huyu mshenzi, kazima mawasiliano yote. Na wamenipa sana mzuka, naanza kutengeneza website na apps ambazo huwezi zima unless uzime mawasiliano yote nchi nzima, tujiandae kwa miaka inayokuja maana wakishinda huu ujinga wataendelea nao
 
Halima Mdee amekamatwa na Polisi na anashikiliwa kituo cha polisi Kawe. Baada ya kukamata kura 'feki' zaidi ya ELFU KUMI na kuhamia kituo kingine, wasimamizi wa vituo wakawaita polisi na walipofika wakamkamata Halima. CCM hawataki kufanya uchaguzi, yanaendelea mambo ya hovyo.
 
Hata kama watalazimisha Magu atangazwe mshindi lakini message sent, hatakiwi na hapendwi.
Mpaka wanatuzimia mitandao yote kusudi waibe kura. Shame on you na vibaraka wote wa CCM
Kutoka tutakinukisha mpaka message sent
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!

Mambo ya kitoto sana...
Ndio mambo ya Mpendwa wako hayo,ni figisu mwanzo mwisho ,kuanzia tume ya uchaguzi,police, msajili wa vyama wote wanamkaba mtu mmoja
 
Nafikiri wewe ndiwe una maono ya kitoto sana kwa sababu umjaa malalamishi tu na hukubaliani na utaratibu wowote ule usioonyesha kumpendelea Lissu. Yeye alitegea awe wa mwisho kuridisha formu ali awawekee mapingamizi wenzake. mapingamizi hayakufanikiwa, na hivyo serial namba yake katika kurudisha formu ikawa ni ya mwisho. Haluna rejista yoyote unayoweza kuweka entry kwa kuruka zile zilzokuwemo. tayari.

Narudia tena, kama kigezo ni hicho, mbona mtiririko sio huo kwa nafasi za ubunge na udiwani? Maana huko kurudisha kulitofautiana pia. Lisu hahitaji upendeleo wowote bali Magufuli ndio anahitaji upendeleo. Utaratibu wa mpangilio ni alphabetical order,. Sio huo uhuni wa kitoto.
 
Halima Mdee
amekamatwa na polisi na anashikiliwa kituo cha polisi Kawe. Baada ya kukamata kura 'feki' zaidi ya ELFU KUMI na kuhamia kituo kingine, wasimamizi wa vituo wakawaita polisi na walipofika wakamkamata Halima. CCM hawataki kufanya uchaguzi, yanaendelea mambo ya hovyo.
 
Imeisha hiyo nimeshamchagua Jembe na Mbunge na Diwani wake
 
Vituo vya kupigia kura kata ya Nyasura & Bunda Mjini wasimamizi wa vituo wamegoma kutoa fomu za matokeo kwa mgombea ubunge (Chadema) jimbo la Bunda Mjini kuzikagua. Taarifa zilizopo zinaeleza kwamba hizo fomu za matokeo tayari zimejazwa. Nchi imeharibika sana..
 
Wakuu,

Tunawaletea matukio na matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yatakavyokuwa yakitangazwa.

Orodha rasmi ya wagombea wanaowania Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kama ilivyo kwenye karatasi ya kupigia kura)

1. Chama cha Mapinduzi
Dkt. John Pombe Magufuli - Mgombea Kiti cha Rais
Bi. Samia Suluhu Hassan - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

2. ADA TADEA
Bw. John Paul Shibuda - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Hassan Kornely Kijogoo - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

3. SAU
Bw. Muttamwega Bhatt Mgaywa - Mgombea Kiti cha Rais
Bi. Satia Mussa Bebwa - Mgombea kiti cha Makamu wa Rais

4. NRA
Bw. Leopord Lucas Mahona - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Khamis Ali Hassan - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

5. Demokrasia Makini
Bi. Cecilia Augustino Mwanga - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Tabu Mussa Juma - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

6. NCCR Mageuzi
Bw. Yeremia Kulwa Maganja - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Khamis Haji Ambar - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

7. CUF
Prof. Ibrahim Haruna Lipumba - Mgombea Kiti cha Rais
Bi. Hamida Huweishil Abdalla - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

8. ACT Wazalendo
Bw. Bernard Kamillius Membe - Mgombea Kiti cha Rais
Prof. Omar Fakih Hamad - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

9. UPDP
Bw. Twalib Ibrahim Kadege - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Ramadhan Ali Abdallah - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

10. ADC
Bi. Queen Cuthbert Sendiga - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Khamis Juma Shoka - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

11. DP
Bw. Philipo John Fumbo - Mgombea kiti cha Rais
Bi. Zaina Juma Khamis - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

12. CHAUMMA
Bw. Hashim Spunda Rungwe - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Mohammed Massoud Rashid - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

13. AAFP
Bw. Seif Maalim Seif - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Rashid Ligania Rai - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

14. UMD
Bw. Khalfan Mohammed Mazrui - Mgombea Kiti cha Rais
Bi. Mashavu Alawi Haji - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

15. CHADEMA
Bw. Tundu Antiphas Lissu - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Salum Mwalimu Juma - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais
MGOMBEA URAIS WA CHADEMA ANAPIGA KURA WAPI?
 
Nampongeza sana Magufuli kwa kuzima mitandao, kuna watu wangeshinda katika mitandao badala ya kwenda kupiga kura. Huku katika mitandao hakuna vituo vya kupiga kura wote leo tukapige kura hakuna kisingizio na wale wataalam wa Twitter nadhani sindano imewachoma.

Kuna siri kubwa nyuma ya pazia kuhusu mitandao ya kijamii, narudia kumpongea mzee kwa kuweka MAKUFULI katika mitandao [emoji1319][emoji1319][emoji1319]
Azime kwa mwezi mmoja
 
-In Tarime Rural constituency where the killings of two people are reported, the names of 95 agents who have already been sworn in are missing from a list posted by the returning officers. John Heche, one of the most powerful Chadema leaders is running to retain his seat.
 
Haya nendeni mkapige kura sasa then mrudi sio tumeongea wee kumng’oa dikteta jiwe alafu siku yenyewe kura hampigi. Mi nimeshangaa familia nzima wananiambia hawapigi sababu mshindi ashapangwa nikawaambia acheni ujinga, watanzania ambao wanakaa bila kupiga kura huku uwezo wanao wasije hata kulaumu wanachofanyiwa na hili tako.
Kapangwa na MUNGU. Misukule ya UFIPA homa imepanda. Huyo anti wenu mwambieni arekebishe tiketi yake awahi kwao wakamrekebishe naniliu
 
Back
Top Bottom