Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020
Kata ya Mzingani, Tanga Mjini mawakala wote wa Chadema na ACT wameshindwa kuingia kwenye vituo vya kupigia kura kwa kukosa barua za utambulisho, Mkuu wa kituo anasema kuwa barua za utambulisho ziko kwa Mkurugenzi.
Wazembe hao walikuwa wapi kuchukua kwa Mkurugenzi!?
 
Huu ni uhujumu ulio wazi. Kukubali matokeo ya uchaguzi kwenye mazingira ya namna hiyo ni upumbavu!
NEC walipanga maksudi iwe hivyo? Halafu watangaze matokeo ya uchaguzi kuwa halali?
Shughuli kwenye hicho kituo sizimame mpaka mawakala waangie, Hii inakuaje raia hawapo wasaidie?
 
Kapangwa na MUNGU. Misukule ya UFIPA homa imepanda. Huyo anti wenu mwambieni arekebishe tiketi yake awahi kwao wakamrekebishe naniliu
Bado mnaamini mungu anapanga watu? Hahaha ingekua hivyo Tanzania ingekua ulaya sasa hivi ila kila kona ni ovyo tu.
Viongozi wanawekwa na wapiga kura sio mungu sio shetani sio nani, wengine wanajiweka kwa kutumia nguvu kama huyu jiwe. Siku watanzania tukianza ku-face hiyo reality labda tutaendelea, as long as tunakaa na hizi wish za kijinga tutabaki kua nchi ya nyani tu.
 
Tonite @ 2.30 am & in the eve of an election day in Tz, heavily armed gangsters believed to be the notorious operators of Hai DC Ole Sabaya & protected by Hai Police OCD have raided our hotel, kidnapped & disappeared with two of our armed security guards. My life is in danger.
Msanii huyu safari hii tunamhukumu kwenye Sanduku la kura
 
Nilipopiga kura jumla ya vitabu vya karatasi za ugombea Urais vipo Tisa..Kwa mujibu wa tume vinatakiwa kuwa vingapi?
 
Eti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!

Mambo ya kitoto sana...
Daaaah! Ujinga wa kiwango cha lami, wajenga reli madaraja, lakini bado wanaogopa, nec wamesema alikuwa wamwisho kumpitisha kwahiyo jina ndio likawa lamwisho
 
Wakuu,

Tunawaletea matukio na matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yatakavyokuwa yakitangazwa.

Orodha rasmi ya wagombea wanaowania Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kama ilivyo kwenye karatasi ya kupigia kura)

1. Chama cha Mapinduzi
Dkt. John Pombe Magufuli - Mgombea Kiti cha Rais
Bi. Samia Suluhu Hassan - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

2. ADA TADEA
Bw. John Paul Shibuda - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Hassan Kornely Kijogoo - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

3. SAU
Bw. Muttamwega Bhatt Mgaywa - Mgombea Kiti cha Rais
Bi. Satia Mussa Bebwa - Mgombea kiti cha Makamu wa Rais

4. NRA
Bw. Leopord Lucas Mahona - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Khamis Ali Hassan - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

5. Demokrasia Makini
Bi. Cecilia Augustino Mwanga - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Tabu Mussa Juma - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

6. NCCR Mageuzi
Bw. Yeremia Kulwa Maganja - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Khamis Haji Ambar - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

7. CUF
Prof. Ibrahim Haruna Lipumba - Mgombea Kiti cha Rais
Bi. Hamida Huweishil Abdalla - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

8. ACT Wazalendo
Bw. Bernard Kamillius Membe - Mgombea Kiti cha Rais
Prof. Omar Fakih Hamad - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

9. UPDP
Bw. Twalib Ibrahim Kadege - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Ramadhan Ali Abdallah - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

10. ADC
Bi. Queen Cuthbert Sendiga - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Khamis Juma Shoka - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

11. DP
Bw. Philipo John Fumbo - Mgombea kiti cha Rais
Bi. Zaina Juma Khamis - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

12. CHAUMMA
Bw. Hashim Spunda Rungwe - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Mohammed Massoud Rashid - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

13. AAFP
Bw. Seif Maalim Seif - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Rashid Ligania Rai - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

14. UMD
Bw. Khalfan Mohammed Mazrui - Mgombea Kiti cha Rais
Bi. Mashavu Alawi Haji - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais

15. CHADEMA
Bw. Tundu Antiphas Lissu - Mgombea Kiti cha Rais
Bw. Salum Mwalimu Juma - Mgombea Kiti cha Makamu wa Rais
Viva lissu✌
 
Halima Mdee
amekamatwa na polisi na anashikiliwa kituo cha polisi Kawe. Baada ya kukamata kura 'feki' zaidi ya ELFU KUMI na kuhamia kituo kingine, wasimamizi wa vituo wakawaita polisi na walipofika wakamkamata Halima. CCM hawataki kufanya uchaguzi, yanaendelea mambo ya hovyo.
Usanii mtupu

Unajuaje kama hizo kura zipo elfu Kumi?
Inaonekana n kitu mlipanga sasa mnaumbuka
 
Tunajua mtaiba, kilichofanya mzime mitandao ni nini, mnajiamini mtashinda why mzime mawasiliano
Unategemea mkuu Kura zingine haziibiki , mungu fundi Sana kuliko mawazo ya binadam mfano
3+4=7 ,22-10=12, 12-7=5 ( hapa unaweza kuiba mpka kichwa kikauma na bado usiweze
Kapigeni Kura wakuuu
 
Ama TCRS wameweza kuzima mitandao, basi tarajieni akipita magufuli, ndani ya miaka mitano kila jambo ambalo haramu ambalo CCM wanaenda kulipitisha, mf kuingeza ukomo wa rais, basi watazima. Ushakuwa utamaduni wao

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom