Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Huku broo, hakuna hata aliyeiba, mawakala wao wapo macho, lakini spana zimewaadhibu,Watasema mmeiba !!!
Lissu hatapata hata 40% ya kura nchini, wanajua washakula viberiti sasahivi wako bize kulalamika.