Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Naunga mkono hoja 100%Magufuli akimteua Makonda tutaandamana bila kujali chama
Na alishangiliwa wakati wa kwenda ku signHahaha mpoki kapiga zero
Nimepita kigamboni nikakuta kambi ya mwana wa mfalme wanaangua vilio utadhani kuna msiba
Waliounga mkono juhudi pole zao, wamebaki na sifa moja tu mbele ya umma wa Watanzania; "Walikubali kuwa wasaliti na hata kutumika kwa manufaa ya chama tawala". Huku ndiko kuisoma namba.
Wasiwe na aibu ya kurudi nyumbani kama wana wapotevu. Ni heri sasa wakarudi zizini huku pembe na mikia yao zikiwa zimekatwa.
Axis of evil,wa Arusha vipi yuleHuyo ' Boya ' nimeshamchukia rasmi Mkuu kwani kama kuna Watu ambao ninawachukia Maishani mwangu kuliko hata Wachawi ni wale Wanafiki.
Bdo jiwe naye akumbane na fedheha yake kwa Membe
Safiiiiiiiiiiiih
Naona hapo utatulia kidogo..ila jamaa hapendwi.Safiiii sanaaa
JESUS IS LORD[emoji120]
Inabidi ajifanyie tathmini. Huwezi kuchukiwa katika kila kona ya nchi. Kesho yake itakuwaje baada ya hizi tetuzi kukoma! Ataweza kukatiza mitaani akiwa huru kama wananchi wengine?
Duu...!!!Mollel ndo yule ana kichwa kama papai?
Mkuu tuweke akiba ya maneno japo nimefurahi[emoji16][emoji16][emoji16]lakin mkuu atamwacha?Ni muda muafaka Bashite kurudi kuendelea na kazi yake ya upishi kwenye meli ya wagiriki.
Na bado watasaga meno kabisaaaaaah, bahari ipo karibu wakajitupe hukoo, wasitutie mikosi khaaaaah