Unasahau kwamba na huyohuyo Makonda alikuwa mkuu wa mkoa Kigamboni ikiwemo ndani. Hakubaliki
 
Hata kama atapitishwa na mzee baba kwa figisu lakini akae ajue Hapendwi kama anavyodhani na ni aibu kwake unaacha ukuu wa mkoa unaimbilia ubunge
 
Sema tu wazi apewe bwana hako makonda
 
Acha tushangilie kwa sasa, hayo ya Kamati kuu hayatuhusu kwa sasa, [emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482] cheers kwa wana Jf wote
 
Huyo mdau yuko sahihi hata asipokujibu

UJIJI acha paitwe ujiji tu
Napata tabu kuelewa achodai maana Peter Serukamba(mkristo) amewashinda waislamu wawili 2005 na 2010, sasa ebu tuambie hao wazee wa kiislamu wa ujiji walikuwa wapi ?
 
Mnaosema hivi mnajisahau nn kama haya matokeo ya mwanzo ni geresha maana kamat kuu inaweza kumchagua hata wa pili kugombea usije shangaa jamaa asirudi kupika kwenye meli ya wagiriki akateuliwa yeye wa pili kugombea ubunge
Lakini mkuu uelewe kuwa kila siku siyo juma3!

Kauli ya Magufuli aliyoitoa leo alipokuwa akiwaapisha wateule wake huenda ikaleta mabadiliko makubwa na ya haki kwa washindi halali, sidhani hiyo pindua pindua ya matokeo itakuwepo ama itapata nafasi tena kwa mwaka huu.

Ninavyohisi kila aliyepita kihakali ndiye atakayepitishwa kugombea ubunge eneo husika.

Wakati na muda ndiyo utakaoongea, na tukae tusubiri.
 
Tatizo Kuna wabunge wa CCM nimewachoka Sana na hawajafanya kitu halaf ndo wanapita kiulaini dah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha lol! Nguvu za MAHIPS Mkuu. Ngoja tusubiri tuone hii miezi mitatu au minne hatma ya bashite.
 
Reactions: BAK
Makonda bila kubebwa na jiwe hata kazi ya kuosha mbwa hapati!
Wanasiasa wengi tu sampuli yake....hata interview za kazi hawawezi kupita.

Ukija kwenye biashara ndiyo kabisa chalii.

Ila mwenyezi Mungu huwa anajua namna ya kufucha dhiki za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…