Tumbo Moto Moto mtapata shida Sana mwaka huu
Bashite kalala chali mapema kabisa kabla ya mchezo
 
Kigamboni kaka yako kagongwa
Ni uchaguzi wa ndani wa sisiemu, hawajashinda chadema! Sijui unajua hilo....
Endelea kupigia vigeregere sisiemu ya jpm..
Vipi Gambo nae? Nasikia kashindwa...
Lema ajiandae sasa kuachia jimbo, asiyemoenda kaja.
 
Issue ni shule, we umesoma madrasa huko uje umuongeze nani 😟

Shukuruni saivi mnapelekwa angalau kidogo shule bado jinsia ke mnaikandamiza lakini waangalieni na wao
ni bora kukaa kimya kuliko ku comment kila ukionacho pasi na kujua chanzo chake. Itasaidia kuficha funza na ujinga ulionao.
Mjinga mwenzio alikuwa anasema wazee wa kiislam ndio wanaoamua nani aongoze kule kigoma mjini. Sasa ukiwa na akili timamu unaona kabisa ni upuuzi maana hao wazee wapo wangapi hadi wao wawashinde wapiga kura wote.? Yaani wote akili zao zimeshikwa na hao wazee wachache?
Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Arusha Mjini
Mrisho Gambo - 333
Philemon Mollel - 68
Albert Msando - 19


What a game,What a battle PALE LEMA HAPA GAMBO.
 
Sijawahi kumjua wala kumsikia huyo Engineer.. Na unavyosema hawawezi thubutu kumkata ni hizo kura 9 za ziada??

Anyway ngoja tuone..
Wewe, mimi na watu wengi sana tunamjua Kimei wa CRDB, hatumjui kimei wa kwenye siasa hususani siasa za CCM. Nadhani mimi na wewe tumejua Kimei ni mwanasiasa siku alipotangaza kuchukua fomu ya kugombea, kabla ya hapo tulikuwa hatujui kama ni mwanasiasa. Katika mazingira hayo, sio jambo rahisi sana kwake kutoboa wakati Engineer Koola amekuwa mwanaCCM wa Vunjo kwa muda mrefu sana, na alijaribu sana kuisaidia CCM kwenye uchaguzi wa 2015 ili ivuke salama Vunjo ikiwa ni mfuatiliaji wa siasa za Vunjo.
 

Nafikiri alikuwa anajua atashiriki akiwa bado ni mkuu wa mkoa na ana ile kamati nzito nyuma yake. JPM, si mtu mwongo wala wa mchezo mchezo. Amemuelewesha PM. Na sasa huko aliko lazima anajililia na wapambe wake
 
Pole sana. Mrudishie zile ambazo bado unazo mkononi tofauti na hivyo atakufanya vibaya
 
halafu anatofautiana na mgeni kwa kura 68, hii si nzuri kwake. Kama ilivyoada kwa ccm kuongoza kura za maoni sio tiketi ya jina kurudi.
Naona mnajificha kwenye kichaka hiki, basi kura za maoni hazina maana
 
Mechi bado ipo "half time".
bado kabisa mkuu, nashangaa watu wanamcheka Paul Makonda, bado ana nafasi kubwa sana, pia hata wale wasiotegemewa wanaweza kupita ...kamati ya watu wazito itaamua pia itategemeaChairman kaamkaje siku hio .[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…