Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Aisee Ukisha ingia ccm sijui unapatwa na ugonjwa gani wa akili.

Muone na huyu anawapigia magoti watoto wadogo kisa kuomba kura.
20 Julai 2020
Tunduma, Songwe
Tanzania

SILINDE KAWAPIGIA MAGOTI CCM KASEMA HAYA KWA WAJUMBE WA CCM JIMBO LA TUNDUMA ,NITUMENI NIKAWATUMIKIE



Source : MbeyaYetuOnlineTV
IMG-20150927-WA0012.jpeg
 
BADO MAKONDA NI MSHINDI

Na, Robert Heriel

Makonda anayohaja ya kuwashukuru sana watu wa kigamboni. Kwa kweli matokeo aliyoyapata kwake ni kama ushindi kutokana na kuwa, mpinzani wake alikuwa anatetea ubingwa.
Tofauti ya kura 68 ni ndogo sana.

Ukiangalia matokeo katika maeneo mengine utaona watu wakiachwa kwa mamia ya kura, wengine wakiadhibiwa kwa kushindwa kufikisha kura kumi tuu.

Makonda bado ni mshindi, na unapaswa umshukuru Mungu na watu wa kigamboni kwa kura ulizopata.

Naamini utaibuka kidedea huko mbeleni. Kila la kheri.



Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Wana Dar es Salam muwe makini na huyu jamaa kwasasa hana kazi yeyote.Isije mkasema sijawakumbusha wekeni vitu vyenu vizuri.Anaweza akajiajili kwenye kazi hatarishi ilimradi mkono uende kinywani.
 
20 Julai 2020
Tunduma, Tanzania

Mwl. MTINDYA: Wajumbe CCM Nipo Tyari Kuwatumikia "Wapinzani Hawana Chao Jimbo la TUNDUMA



Source : Jay TV
 
Wale maboya waliohama chadema na kwenda CCM nani amepita. Tena yule aliyejiita mtoto wa mjini.
 
BADO MAKONDA NI MSHINDI

Na, Robert Heriel

Makonda anayohaja ya kuwashukuru sana watu wa kigamboni. Kwa kweli matokeo aliyoyapata kwake ni kama ushindi kutokana na kuwa, mpinzani wake alikuwa anatetea ubingwa.
Tofauti ya kura 68 ni ndogo sana.

Ukiangalia matokeo katika maeneo mengine utaona watu wakiachwa kwa mamia ya kura, wengine wakiadhibiwa kwa kushindwa kufikisha kura kumi tuu.

Makonda bado ni mshindi, na unapaswa umshukuru Mungu na watu wa kigamboni kwa kura ulizopata.

Naamini utaibuka kidedea huko mbeleni. Kila la kheri.



Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
acha hizo
 
Nyamagana
Stanslaus Mabula=319
John Nzwalile =54
Safi sana kama Nzwalile kapigwa, mjinga huyu alikuwaga CHADEMA akatoka kwa madharau sasa tuone ajipange tena kwa miaka mingine mitano ya hamna! Kazi kwa kijana wetu Pambalu ashindwe kunyakua jimbo! Nyamagana huwa hairudishi mbunge mara mbili ingawa 2015 Wenje alitaka kuvunja rekodi kama asingedhulumiwa na Mkapa!
 
Nafikiri agizo la uwazi wa kuhesabu kura NEC haliwahusu, nasubiri agizo la kuwaagiza NEC nao wahesabu kura kwa uwazi.
 
Makonda hakufanya reseach vizuri. angeweza kugombea Kibamba au Ukonga ambako kulikuwa na nafasi kubwa zaidi ya kushinda kuliko kwenda kupimana ubavu na Mbunge anayemaliza muda wake huku akiwa bado anakubalika na wana ccm wenzake.

Halafu, alichokifanya siyo afya kwa chama.
 
Acha ukichaa
BADO MAKONDA NI MSHINDI

Na, Robert Heriel

Makonda anayohaja ya kuwashukuru sana watu wa kigamboni. Kwa kweli matokeo aliyoyapata kwake ni kama ushindi kutokana na kuwa, mpinzani wake alikuwa anatetea ubingwa.
Tofauti ya kura 68 ni ndogo sana.

Ukiangalia matokeo katika maeneo mengine utaona watu wakiachwa kwa mamia ya kura, wengine wakiadhibiwa kwa kushindwa kufikisha kura kumi tuu.

Makonda bado ni mshindi, na unapaswa umshukuru Mungu na watu wa kigamboni kwa kura ulizopata.

Naamini utaibuka kidedea huko mbeleni. Kila la kheri.



Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
 
Back
Top Bottom