Nasubiri kwa hamu matokeo ya huyu mbwiga.
piga chini huyo kawadhurumu wapiga kura wa jimbo la momba na CHADEMA sasa anataka kuwaingiza chaka jimbo la Tunduma, halafu aulizwe pesa ya kujenga miradi ya CCM kutoka mfukoni mwake kaitoa wapi?.
 
CCM siyo chama rafiki kwa wanyonge. Pamoja na muamko mkubwa uliooneshwa wanyonge ktk uchaguzi huu kuchukuwa fomu za kugombea ubunge, lkn hakuna hata mmoja ambaye ni mnyonge atapata nafasi ya kupitishwa.

Kwanini? Kura za maoni wengi wao wamepata sufuri kabisaa! Ndiyo kisema hata majina yao hayawezi kupelekwa kwa " "mzee wa mood" (a.k.a inategemea nimeamkaje).

Wenye nazo tu ndiyo wamejizolea kura nyingi karibu kila Jimbo.

Shauri zenu......!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…