Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Ng'ombe mwingine mkatwa mkia kapigwa chini huko Arusha.
Msaliti Calidti Lazaro. Meya mnunuliwa ameambulia kura mbili.. Yaani leo nina raha kuwaonyesha hawa wasaliti kwamba hana umasrufu wowote bali Chadema ndicho chama kiliwapa umasrufu. Tukutane 2025

Duh haya masalia mwaka huu yatanyooka bado Likuakali tupeni updates
 
20 Julai 2020
Kyela, Mbeya

KINANASI AKINADI SERA ZAKE NA KUOMBA KURA CCM MAONI KYELA.


Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM Kyela ndugu Ally Mlagila Jumbe , ndugu Bush , waziri Harrison Mwakyembe ni miongoni mwa watia nia ya ubunge kupitia chama cha CCM kuomba kura za maoni za CCM Kyela.



Source : Kyela TV online
 
Back
Top Bottom