Duh haya masalia mwaka huu yatanyooka bado Likuakali tupeni updates
 
20 Julai 2020
Kyela, Mbeya

KINANASI AKINADI SERA ZAKE NA KUOMBA KURA CCM MAONI KYELA.

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM Kyela ndugu Ally Mlagila Jumbe , ndugu Bush , waziri Harrison Mwakyembe ni miongoni mwa watia nia ya ubunge kupitia chama cha CCM kuomba kura za maoni za CCM Kyela.


Source : Kyela TV online
 
Hivi wale waliopata kura zero a.k.a sifuri inamaana hawakujipigia ..CCM kweli janga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…