🤣🤣🤣 Wangemuuliza Molel siri ya mafanikio. Katambi atajuta kuuacha ukuu wa wilaya. Elimu yake yenyewe ya chuo cha kata st Augustine.
Hakuna Chuo Cha Kata lazima kuyaheshimu maamuzi yake anayejua utamu wa ngoma ni yule anayecheza.Mtazamaji utamaliza maneno yote.
 
*WALIO ANGUKIA PUA KURA ZA MAONI CCM*

*#TeamMwananzila*
1. Sophia Mjema
2. Paul Makonda

*#TeamKuungaJuhudi*
1. Mtulia
2. J. Nassari
3. Kafulila
4. Lijualikali
5. Silinde
6. Katambi
Silinde mbona wanasema kashinda
 
Huyu jiwe atampa hata uenenzi polepole atapigwa chini very soon maana makona kwa kiherehere yupo vizuri

Naona kwa Lugha nyingine ni kama umempigia Filimbi Polepole aanze Kuwasaka Waganga ' Wabobezi ' ili wamlindie hicho Cheo chake Mkuu au?
 
*WALIO ANGUKIA PUA KURA ZA MAONI CCM*

*#TeamMwananzila*
1. Sophia Mjema
2. Paul Makonda

*#TeamKuungaJuhudi*
1. Mtulia
2. J. Nassari
3. Kafulila
4. Lijualikali
5. Silinde
6. Katambi
Haka kafala ka katambi kalienda kugombea wapi?
 
20 Julai 2020
Kyela, Mbeya

MWAKYEMBE MTETEA JIMBO AKIMWAGA SERA WAKATI WA KURA ZA MAONI.

Source : Kyela online TV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…