Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
🤣🤣🤣 Wangemuuliza Molel siri ya mafanikio. Katambi atajuta kuuacha ukuu wa wilaya. Elimu yake yenyewe ya chuo cha kata st Augustine.
Hakuna Chuo Cha Kata lazima kuyaheshimu maamuzi yake anayejua utamu wa ngoma ni yule anayecheza.Mtazamaji utamaliza maneno yote.
 
*WALIO ANGUKIA PUA KURA ZA MAONI CCM*

*#TeamMwananzila*
1. Sophia Mjema
2. Paul Makonda

*#TeamKuungaJuhudi*
1. Mtulia
2. J. Nassari
3. Kafulila
4. Lijualikali
5. Silinde
6. Katambi
Silinde mbona wanasema kashinda
 
*WALIO ANGUKIA PUA KURA ZA MAONI CCM*

*#TeamMwananzila*
1. Sophia Mjema
2. Paul Makonda

*#TeamKuungaJuhudi*
1. Mtulia
2. J. Nassari
3. Kafulila
4. Lijualikali
5. Silinde
6. Katambi
Haka kafala ka katambi kalienda kugombea wapi?
 
20 Julai 2020
Kyela, Mbeya

MWAKYEMBE MTETEA JIMBO AKIMWAGA SERA WAKATI WA KURA ZA MAONI.


Source : Kyela online TV
 
Back
Top Bottom