Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Eti alimkuta UDSM ?🤣🤣🤣🤣Wewe Naye huyo kalai kusoma SAUT na hajamaliza law School maana wamekula kichwa ni debe tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti alimkuta UDSM ?🤣🤣🤣🤣Wewe Naye huyo kalai kusoma SAUT na hajamaliza law School maana wamekula kichwa ni debe tupu
Umaarufu wa mitandao unaweza saidia kwenye uchaguzi mkuu. Ila kura za maoni CCM lazima uwe na basement kila kata.Kura zitapigwa tena kuwashindanisha hao wawili tu. Wakifungana tena wanarusha shillingi. Shigongo anaweza kupenya. Nguvu ya global tv si ya kuchezea.
Watoto wa kiume wa Mwalimu Julius Nyerere, Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa Tanzania, Makongoro na Madaraka, wamekataliwa kwa kura nyumbani kwao Butiama, Mara.
Watoto hao wa Mwalimu Nyerere, walikuwa wakiomba ridhaa ya kupitishwa, kugombea ubunge na wajumbe wa mkutano mkuu wa Jimbo la Bunda, kupitia chama cha CCM.
Katika mkutano huo ulifanyika leo, matokeo yanaonyesha kwamba vijana hao wa Mwalimu, wamebwangwa vibaya.
Hadi naandika hapa, matokeo yameonyesha kuwa Makongoro na Madaraka wote wameshindwa kuingia hata 10 bora.
Sasa wanasubiri kudra za Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli kama atakuwa na njia ya kurejea jina la mmoja wao au wote, kati ya matatu ili kupata mmoja atakayepeperjsha benders ya chama hicho tawala kwa nafasi ya ubunge wa jimbo hilo.
Matokeo yanasomeka: Jumanne Sagini (kura 84), Frank Mahemba (80), Joseph Nyamboha (46), Manyerere Jackton (22), Makongoro Nyerere (3), Madaraka Nyerere (2).
Wagombea walikuwa 59, wapiga kura 555.
Akitangaza matokeo haya, msimamizi wa uchaguzi huo, Msafiri Mtemi amesema zoezi la kupiga kura lilifanyika kwa uwazi mkubwa na kuwataka wagombea wote kuheshimu matokeo.
Msimamizi huyo ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime, amesema uamuzi wa nani atakuwa mgombea utatangazwa na chama chao baada ya kufanyika kwa mchakato mwingine katika mgazi za wilaya, mkoa na hatimaye halmashauri kuu.
Makongoro ambaye amewahi kuwa mbunge wa Arusha kupitia chama cha NCCR - Mageuzi na baadaye kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, wakati Madaraka ndiyo ameingia mara ya kwanza kujaribu bahati yake.
Millard Ayo bana [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1512210
Shughuli Pevu iko huko Kesho Mkuu ila kuna Mtu baada ya Matokeo yake akawaza tu aendelee Kuwahudumia na Kuzibandua Kondoo zake zote.
Sorry nilimaanisha atakapopambana na mr IIPachimbike vipi wakati Tulia kashinda kwa kishindo.
Hayo yote yanawezekana. Kikubwa ujumbe umefika bila chenga.Mkuu usijenge daraja kabla hujauona mto,amini usiamini huu sio mwisho wa Makonda anaweza hata kuteuliwa kwa na mkuu kuwa mbunge na akawa waziri au hata kurudishwa kwenye ukiranja wa mkoa,au mumesahau ya Andengenye
Jamani kangi lugola vipiSaaaaafiiiiiiiih sanaaaaah
Unajidharirisha
Lusinde ndo kashinda,sio silindeSilinde mbona wanasema kashinda
Shigongo sio wa leo kwenye ulingo wa siasa za kibunge, sio mtu mdogo kabisa.
upinzani sio chama ni spirit hata CCM kuna wapinzaniNilichogundua ni kuwa Ccm ikiindelea kupata viongozi wakuu kariba ya Jiwe, wananchi wengi wanaipenda na kuguswa na Ccm. Upinzani una shine kwa ajili ya mistakes ndogo ndogo za Ccm. Hamna mtanzania anaupenda upinzani kutoka moyoni labda kwa wanaofaidika nao
Mkuu bado majina yanaenda dodoma, wanaweza mkata faustin wakamweka yeye.tusubui VR kwanza .