Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Hakuwahi kushinda kwa juhudi zake binafsi. Kama si kubebwa basi ni forgery ama kuiba. Si unaona hata vyeti vyake vya shule ni vya magumashi
Aisee ata pata taabu kweli kweli mkuu bina Adam wabaya omba usifilizike wata kukana mchana kweupe makonda anaenda kupata shidah kubwa sana maana record za mbaya kuliko za shetani
 
Kura zitapigwa tena kuwashindanisha hao wawili tu. Wakifungana tena wanarusha shillingi. Shigongo anaweza kupenya. Nguvu ya global tv si ya kuchezea.
 
Watu wengi wanasema kuwa Makonda ni mzuri kwa kubebwa na Magu, sio kwa kushindana.

Hata akichaguliwa na kamati kuu itaendelea kuthibitisha kuwa yeye ni mwana wa mbeleko.

Mnaomshabikia Makonda tazameni hilo
Kumbuka kuongoza kura za maoni sio kuchaguliwa kugombea ubunge kupitia ccm, anaweza chaguliwa hata wa tano hivyo bado final say kamat kuu
 
Najaribu kuwafuatilia wateule wa Rais Magufuli waliobwaga manyanga na kutia nia ya ubunge.

Yule aliyekuwa DC wa Dodoma mh Patrobas Katambi sijamuona popote, je hakuwahi kutia nia?

Maendeleo hayana vyama!
Shinyanga,na kaangukia pua km kafulila

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Aisee ata pata taabu kweli kweli mkuu bina Adam wabaya omba usifilizike wata kukana mchana kweupe makonda anaenda kupata shidah kubwa sana maana record za mbaya kuliko za shetani
Sijui Nani aliyemshauri kwenda huko wakati Jimbo la Kibamba lilikuwa wazi,
 
Back
Top Bottom