Waulize hao Watoto wa Hayati kuwa Watoto wa Diego Maradona nao ' Wanaupiga ' kama Baba yao? Wamekurupuka mno na hawakujitathmini pia.
 
Mambo sasa hadharani. Siyo rocket science wala brain surgery. Ni hesabu rahisi tu za logic.

Ni hivi...

Kwa siasa za ndani na nje ya CCM, Makonda ni taswira ya JPM.

Huko Kigamboni, Makonda kaambulia 34.76% ya kura.
Hiyo ndiyo opinion ya wana CCM wa Kigamboni dhidi ya Makonda (mirroring JPM).

Hapana shaka kuwa huo ndiyo pia mtizamo miongoni mwa wana CCM walio wengi, wakiwamo wajumbe wa mkutano mkuu wao uliofanyika hivi karibuni kule Dodoma.... kwamba ndani ya mioyo ya wana CCM, JPM atakuwa anakubalika kwa 34.76% tu na siyo ile 100% ya maigizo.

Jee, ni nini tafsiri ya yote haya kuelekea uchaguzi mkuu October 2020?
Jibu ni rahisi.... kwamba kama uchaguzi mkuu ungekuwa unafanyika katika mazingira huru na haki, JPM asingeweza kuambulia hata 30% ya kura za Watanzania.

Makonda amekuwa ni barometer kuelekea October 2020.

Ni logic rahisi tu.
 
Mkuu usijenge daraja kabla hujauona mto,amini usiamini huu sio mwisho wa Makonda anaweza hata kuteuliwa kwa na mkuu kuwa mbunge na akawa waziri au hata kurudishwa kwenye ukiranja wa mkoa,au mumesahau ya Andengenye
Hayo yote yanawezekana. Kikubwa ujumbe umefika bila chenga.
 
Shigongo sio wa leo kwenye ulingo wa siasa za kibunge, sio mtu mdogo kabisa.

Shigongo kaanza kugombea na Amina Chifupa RIP

Na ugomvi wao mpaka anamuandama na magazeti yake ni nafasi ya kupitia UVCCM Amina alimshinda kwa kutumia kigezo cha gender.

Pia Shigongo ni mfadhili wa CCM siku nyingi mpk akadhulumiwa kontena zima la T shirts(Mama Zakia Meghji akiwa Mhazini mkuu akamwambia kunywa maji mwanangu😄😄)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…