Moshi vijijini,ida mushi wa itv vipi?
 
Mtulia akuze maembe[emoji16][emoji16]
 
Kumbe Nchemba hakubaliki hivyo
 
Temeke vipi wakuu?
Kule Jimbo la Moshi mjini pia ccm imenunuliwa na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro kumuuzia Jimbo mfanyabiashara ya mabasi ibra line. Kule singida nako chama kinauzwa kwa wafanyabiashara.Hali ni tete
 
kuna utofauti mkubwa ukiangalia idadi ya kura wanazopata wenzake kwenye majimbo mengine.... yaani jimbo lake kura zimetawanyika sana...
Ukiangalia idadi ya wapiga kura ni ndogo
Angalia washindani wake wengi wanapata kura 2 3 mpaka 8 basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…