Tabora wana akili. Wamemkataa Msomali. Nzega ndo bado wanahitaji Elimu msomali wamempa ushindi.
Acha Kueneza Ubaguzi, hao watu unaowabagu wamezaliwa Hapa hapa Tanzania, babu zao wamezaliwa hapa hapa Tanzani....hata somalia hawapajuiTabora wana akili. Wamemkataa Msomali. Nzega ndo bado wanahitaji Elimu msomali wamempa ushindi.
Hahahahaha nimekupata,aliolewa Mawela.Kwani akiolewa pia wazazi wa aliyemuoa si watakuwa wakweze by default?
Wale hawapo kwa ajili ya watanzania. Bashe kazaliwa Tanzania ?Kapata uraia juzi juzi kama sikosei baada ya 2005.Hawana mapenzi na Tanzania. Wapo kimaslahi binafsi zaidi.Acha Kueneza Ubaguzi, hao watu unaowabagu wamezaliwa Hapa hapa Tanzania, babu zao wamezaliwa hapa hapa Tanzani....hata somalia hawapajui
huu upuuzi Acha
Inamaana mpoki hakutokomeza ziro?Kinondoni
Zamaradi kura 2
Kalapina kura 1
Iringa mjini
Steve Nyerere kura 6
Arusha mjini
Albert Msando kura 21
Kigamboni
Mpoki kura 0
This is too low to come from you dada!Tabora wana akili. Wamemkataa Msomali. Nzega ndo bado wanahitaji Elimu msomali wamempa ushindi.
Mkuu naona ubongo wako ni mzito kama papai huelewiKwahiyo Kigamboni ipo Iringa au pwani?
Huko mchuano na Butondo sijui ukoje.Kishapu kwa chambi vipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi unatembea zaid ya ule wa kula tunda kimasiara
Wabunge 97% ni maslahi Binafsi....ebu Ongea na nafsi yako ukweli, uwakilishi + Maslahi binafsi yanatangulia, Yumkini nyomi kama Lote wamegombea Safari hii yoote hiyo ni NJAA tuWale hawapo kwa ajili ya watanzania. Bashe kazaliwa Tanzania ?Kapata uraia juzi juzi kama sikosei baada ya 2005.Hawana mapenzi na Tanzania. Wapo kimaslahi binafsi zaidi.
AmekujibuInamaana mpoki hakutokomeza ziro?
Bora angebaki UPINZANI tu huyu Mwanaharakati anadharirika sana.Duh! Pina kula moja!
MuktadhaKuchunga ng'ombe ni hobby tu, akipenda atafanya hivyo ili kudumisha mila, au akiamua ataongeza mtaji wa pesa ya pensheni kwenye shughuli zake
Huko mchuano na Butondo sijui ukoje.
Mwakyembe knock out [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kashika nafasi ya tatu
WoyooooooooooooohHeavyweight, no one expected this WOW!