ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Poleni sana kwa yote lakini ndio demokrasia hiyo na tukumbuke pia kuna kushindwa na kushinda
Zaidi ya yote karibuni sana tuungane kwenye hizi foreni za Barabarani hapa Dar maana hufikia mtu kukaa hata masaa matatu ukiwa unaenda au kutoka mjini
Karibuni sana kitaani.
Zaidi ya yote karibuni sana tuungane kwenye hizi foreni za Barabarani hapa Dar maana hufikia mtu kukaa hata masaa matatu ukiwa unaenda au kutoka mjini
Karibuni sana kitaani.