GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kina Patrobas ndo mfano wa werevu ?🤣🤣🤣
Kwani na Wewe wakitakiwa Watu Werevu wajitokeze na Wewe na hicho Kidevu chako kibaya kama Ngazi za Mabasi ya UDA utajitokeza Kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina Patrobas ndo mfano wa werevu ?🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂 Wabongo ni noma sana hahahahaha lol!
Mkuu statement ya mzee haikuwa General, statement contextually ilikuwa kwa walioacha kazi za uteuzi.wanaweza mkata faustin wakamweka
Ni kweli kabisa,habari za kuteuliwa watajuana yeye na baba yake, ila ujumbe umefika kwamba hatakiwi na hakubaliki,akafie mbele,acha watu wakate kekiWatu wanacho furahia ni kuwa... WANANCHI WA DSM WAMEMKATAA MAKONDA.. HAYO YA KUTEULIWA VITI MAALUM HAITUHUSU. SALAAM ZIMEMFIKIA MTEUZI WAKE KUWA WANANCHI WA DSM HAWAMTAKI MAKONDA.
Shigongo ni mara ya 3 kagombea, mara 2 alipigwa chiniName recognition ndio factor kubwa nimegundua.
Kiwango ambacho wamesikia jina lako kwenye jamii, hata kama ni kwa udaku.
Erick Shigongo anashindaje siasa za ubunge?
Namshangaa Amber Rutti hajagombea.
Kama unajua wakati wa uchaguzi wa Bush walifanya recount kwa sababu kama hizi. Kwenye demokrasi siyo kweli kuwa ushindi ni ushindi tu. Kukiwa na wagombea watatu, halafu wawili wakapishana kwa kura ndogo sana, basi yule wa chini anatolewa halafu wale waliobaki wanapambinshwa tena. Huo ndio utaratibu unaotumiwa katika sehemu nyingi za kidemokrasiaingawa najua kuna sehemu ambazo hazifanyi hivyo.Ushindi ni ushindi tu, haizalishi umempita magoli mangapi. Aggrey Mwanry amekipata alichokitaka kwa ku risk kazi yake kubwa ya ukuu wa mkoa kwa kazi ndogo ya ubunge.
Bwana katambi alizaliwa vyema na kulelewa katika njia ipasayo ila kama ujuavyo kiokote ni kiokote tu kama alivyo paka kuacha samaki kwa kuhadaiwa na panya.Kina Patrobas ndo mfano wa werevu ?🤣🤣🤣
Katambi SAUT mlamu!Hapa unaiongelea ile UDSM ya tokea Uhuru wa Tanzania hadi ya mwaka 1995 au hii UDSM ya ' hovyo hovyo Product ' ya mwaka 1996 hadi 2019?
UDSM kama UDSM ya miaka yote...Hapa unaiongelea ile UDSM ya tokea Uhuru wa Tanzania hadi ya mwaka 1995 au hii UDSM ya ' hovyo hovyo Product ' ya mwaka 1996 hadi 2019?
Mkuu hujamsikia pole pole Leo??kasema kuongoza kwenye kura so ndo kupata tiketi.bado majina yanapelekwa kwenye kamati ya siasa wila. Kisha halmashauri kuu dodoma.Mkuu statement ya mzee haikuwa General, statement contextually ilikuwa kwa walioacha kazi za uteuzi.
Mzee alisema watu wanatamaa, lakini wanaweza kwenda huko, wakashinda akawakata inategemea ameamkaje.
Haikuwa kwa kila atakayeshinda, it was so specific.
Labda kama hatutumii basement ya statement take ile anawea Fanya hivyo.
But in reference to that statement, ilikuwa kwa wauteule wake waliomkacha.
Huko wanaweza Kuamua ' Ubongo ' wake mbovu uhamishiwe Kwako ili na Wewe uweze kuwa ' Popoma ' kwa Miaka yako uliyoibakisha Duniani.