Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Matokeo..... KIGOMA KUSINI
1.Eng sasilo kura 01
2.Bwire kura 02
3.Rugema kura 07
4.mzee Mtura kura 11
5.Chacharika kura 10
6.Aminiel kura 29
7.kafulila kura 64 (4)
8.Nashoni kura 141 (2)
9.Kizito kura 117 (3)
10.Hasna kura 273(1)
 
Matokeo..... KIGOMA KUSINI
1.Eng sasilo kura 01
2.Bwire kura 02
3.Rugema kura 07
4.mzee Mtura kura 11
5.Chacharika kura 10
6.Aminiel kura 29
7.kafulila kura 64 (4)
8.Nashoni kura 141 (2)
9.Kizito kura 117 (3)
10.Hasna kura 273(1)
Huyu kafulila tamaa zinamponza, asipewe hata utendaji wa kata
 
109429707_161884625409100_1304536971738511152_n.jpg
109486826_1591526804384644_1406217699099434523_n.jpg
109994875_4381826381858094_3389674895871273587_n.jpg
115756771_304855504258630_4608777629073981087_n.jpg
 
Kutoka Mtwara, Mbunge anayemaliza muda wake Mtwara Vijijini Hawa Ghasia amewashinda watia nia wenzake 14 na kuibuka mshindi kwenye kura za maoni jimbo la Mtwara Vijijini kwa kupata kura 440 kati ya kura 847 zilizopigwa, anayemfuatia amepata kura 191 (Seleman Mwamba).

Dr. John D. Pallangyo ameongoza katika kura za maoni za kuwania kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki baada ya kupata kura 536, akifuatiwa na Dr. Daniel Palangyo aliyepata kura 63 huku aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo Joshua Nassari akipata kura 26.

Nape Moses Nnauye ameibuka mshindi kwenye kura za maoni Jimbo la Mtama baada ya kupata kura 496, mshindi wa pili Nahongo cuthbert ana kura 177 na mshindi wa tatu Chiwinga Aushuatino ana kura 42.
 
Profesa Sosipeter Muhongo aongoza kura za maoni za kuwania nafasi ya Ubunge kwa Jimbo la Musoma vijijini kwa kupata kura 391 huku anayemfuata akipata kura 50 na watatu akipata kura 37

KURA ZA MAONI MKURANGA: Naibu Waziri ABDALLAH ULEGA Ashinda KWA KISHINDO (94%) . Matokeo 👇 ULEGA 1138, MLAO 50, MAWE 7, MWASIT 5, PEPO 3 Zilizoharibika 4 . Jumla ya kura zote halali 1214

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr Damas Ndumbaro ameongoza kura za maoni katika jimbo la Songea Mjini kupitia ccm kwa kupata kura 315 kati ya kura 598 zilizopigwa. 1. Ndumbaro 315 2. Fuko 200 3. Ibrahim 34 4. Mbilinyi 11 5. Mwl Mpendwa Milanzi 8 6. Mdede 5 7. Mhenga 5.
 
Hawa watoto wa Mzee Nyerere wana uchu wa madaraka. Kwanini wasingeachiana. Anyway pengine wapiga Kura wanafahamu vzr tabia zao
 
WanaKigamboni tuungane kwa wimbo huu "Tumeuona mkono wa Bwana" by Zabron Singers.



 
Back
Top Bottom