Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
πππππππππ
Bembeleza mwana oooh, msitu mkubwa mamaaa, safari ni ndefu ooo...
Je sote tutaliwa na simba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππ
Mkuu hujamsikia pole pole Leo??kasema kuongoza kwenye kura so ndo kupata tiketi.bado majina yanapelekwa kwenye kamati ya siasa wila. Kisha halmashauri kuu dodoma.
Jamaniiiiiiiiiiiiii mam duuuuuhUDSM kama UDSM ya miaka yote...
View attachment 1512263
Bembeleza mwana oooh, msitu mkubwa mamaaa, safari ni ndefu ooo...
Je sote tutaliwa na simba?
Safiiiiiiiiiiih sanaaaaah
Kangi huyu huyu[emoji23][emoji23][emoji23]Mwibara
Kangi 4
Kajege 102
Mabula 398
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1512263
Bembeleza mwana oooh, msitu mkubwa mamaaa, safari ni ndefu ooo...
Je sote tutaliwa na simba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumbili,ni muda wa kurudi mtini sasa[emoji23][emoji23],binadamu tumekuchoka[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1512236
Deusi Sangu anaongoza kwa kura 426 na Malocha(Aliyekuwa Mbunge)Jimbo la Kwela mkoani Rukwa, nani anayo matokeo aseme......?
Kyela
Ally Mlagila Jumbe (Kinanasi) 502
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahPaukwa Pakawa,Mananasi yamekuwa matamu kuliko maembe!!
Nilichokiandika hakiendani na chochote ulichokiandika hapa abdool.ni bora kukaa kimya kuliko ku comment kila ukionacho pasi na kujua chanzo chake. Itasaidia kuficha funza na ujinga ulionao.
Mjinga mwenzio alikuwa anasema wazee wa kiislam ndio wanaoamua nani aongoze kule kigoma mjini. Sasa ukiwa na akili timamu unaona kabisa ni upuuzi maana hao wazee wapo wangapi hadi wao wawashinde wapiga kura wote.? Yaani wote akili zao zimeshikwa na hao wazee wachache?
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Na ukuwadi wa madanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Steve Nyerere siasa ni zaidi ya Bongo Movie. Haya turudi mjini kuendelea na zoezi letu la ukusanyaji wa rambirambi. View attachment 1512221
Umeweka demarcation ya nguvu kweli kwani mimi nilifundisha UDSM hadi mwaka 1995. Kumbe baada ya mimi kuondoka kila kitu kilikwenda mrama vile! Nilimwacha rafiki yangu marehemu Prof Mbwette akiwa meneja wa transformation program hiyo iliyobadilisha UDSM kuwa choo ambamo kila mtu anaingia.Hapa unaiongelea ile UDSM ya tokea Uhuru wa Tanzania hadi ya mwaka 1995 au hii UDSM ya ' hovyo hovyo Product ' ya mwaka 1996 hadi 2019?
Kapata kura 4 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mungu wangu weeeeeeh khaaaahJamani kangi lugola vipi
JESUS IS LORD[emoji120]
Huenda ndiyo kapata muda wa kutosha kuongoza lile kundi la watu wasiojulikana. Who knows ?Nawashukuru sana wana kigamboni, atleast wana Yanga tupumzishwe sasa midomoni mwa wanasimba.. Habari ya mjini ni atafutiwe kazi nyingine ya kichama,wananchi wamemchoka! Yes! Kama wenzake wamemkata miguu huko sisi tusiyefungamana naye ni nani basi hadi tumpokee! Imeisha!