Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Daaaah ameondoka bila kumaliza kesi ya Shilole na Uchebe... wengi kawafikisha mtoni kawaacha...Ni kweli kabisa,habari za kuteuliwa watajuana yeye na baba yake, ila ujumbe umefika kwamba hatakiwi na hakubaliki,akafie mbele,acha watu wakate keki
Mwakyembe kama haamini haamini hapo [emoji23][emoji23][emoji23]Picha inajielezaView attachment 1512106
Phd 3 zimefeli
Nimekupata vema kabisa. Na ndio ukweli jana Kigamboni wasioridhika na "Mtawala" wamemalizia hasira zao kwa Makonda. Mwakyembe naye kawaje sasa, naona kapigwa!Hii ya Jana na itakayotokea leo kuwakataa Watia nia wenye ukaribu na Mh Rais kwa kiingereza ni "Protest Vote" Protest Vote hutokea pale ambapo raia hawasikilizwi kwa hiyo hasira yao wanamalizia kwenye sanduku la Kura kwa kumchagua yule ambaye ni mpinzani wa kiongozi.
Hivi wapiga kura ni akina nani katika kura za maoni? Sijui nani kusema kweliHao mamluki toka upinzani ingekua ngumu kushinda ,maana wengi ndani ya ccm hawajui hata wapiga kura wanapatikanaje ktk kura hz za maoni
Mpuuzi huyu naye anaiangusha CCM! Kama umeshiba si uende ukalale nyumbani kwako?
Kuna harufu nimeinusa hapa ngoja tuoneHata Kigwangala alikuwa mshindi wa tatu lakini alichaguliwa!! Kwahiyo wapwa na wakulungwa wasishangilie kwanza.
Ngoja lijinjwe kwa mbali! Lilikejeli sana wapinzani, a leo linawatukana wapiga kura!
Nimekupata vema kabisa. Na ndio ukweli jana Kigamboni wasioridhika na "Mtawala" wamemalizia hasira zao kwa Makonda. Mwakyembe naye kawaje sasa, naona kapigwa!
KaraiKatambi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha, utaratibu ulibadilishwa ktk kura za maoni za ubunge jimboHivi wapiga kura ni akina nani katika kura za maoni? Sijui nani kusema kweli
Tarimba sikuwa na wasi nayeHahahaha Mkuu naona Tarimba kanyanyua kinondoni
Sasa kesho Kawe ,Mwenda Swahiba wa Tarimba nae ananyanyua
Domo lina expand daillyJua kali na Lijua limuwakie la utosi...mwaka mzima lichome ule upara.
Msaliti Msaliti tuKatambi amedondokea yale meno meusi huko Shinyanga.
Huyu akipitishwa "wananchi" watapita nae asubuhi mapema....
Hahaha, sasa na kawe anachukua Mwenda Hawa jamaa ni marafiki , na wanajua siasa vzr mnoTarimba sikuwa na wasi naye
Kinondoni anakubalika
Tarimba mtu wa vitendo kwanza hana jealous hana ushambaaa...... Nishamtumia sms ya kumpongeza ijumaa nakutana naye pale kwa albabu kinondoni
Tutatafuna shawarmaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova