Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
wandugu hakuna kitu kigumu kama kutoboa katika kura za maoni.
[emoji23]
 
Loh
 

Attachments

  • 2461758_VID-20200720-WA0039.mp4
    12.4 MB
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.


Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi

Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.

Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.


------ UPDATE: MATOKEO YA KURA ZA MAONI -----

1. DAR ES SALAAM
Kinondoni

Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11

Kigamboni - Kura 399

Dkt. Faustine Ndugulile - 190
Paul Makonda - 122
Ansar Kachwamba - 39

Kawe

Ilala

Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6

Kibamba

Ubungo - Kura 375

Prof. Kitila Mkumbo - 172
Bi.Mwantum Mgonja - 73

Segerea
Bonnah Kamoli - 365
Asaa Simba - 41
Shaabani Oromi - 20

Ukonga

Temeke - Kura 367

Abbas Mtemvu - 203
Doris Kilave - 182
Abdallah Mtolea - 22.


2. SINGIDA

Iramba Magharibi


Singida Mjini

Musa Ramadhan Sima - 158
Charles Kisuke - 124
Hassan Mazala - 92

Singida Kaskazini
Iramba Mashariki
Iramba Magharibi
Manyoni Magharibi
Manyoni Mashariki
Singida Mashariki
Singida Magharibi


3. TABORA

Bukene
Igalula
Igunga
Kaliua
Manonga

Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2

Nzega Vijijini
Sikonge
Tabora Mjini
Ulyankulu
Urambo
Uyui


4. PWANI

Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588

Chalinze
Ridhiwan Kikwete - 369
Ramadhan Maneno - 273
Said Zikatimu - 223

Bagamoyo
Kibaha Mjini

Kibaha Vijijini
Hamoud Jumaa - 332
Michael Makamo - 33
Hussein Juma -31

Mafia

Mkuranga
Abdallah Ulega - 1138
Ramadhan Mlao - 50
Ally Mawe - 7

Kibiti
Rufiji



5. IRINGA

Isimani

Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0

Iringa Mjini
Jesca Msambatavangu - 190
Nguvu Chengula - 75
Ibrahim Ngwada - 44

Kalenga
Kilolo

Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122

Mufindi Kaskazini
Mufindi Kusini

6. TANGA
Tanga Mjini

Bumbuli
January Makamba - 680
Abdulkadir Kaniki - 21
Muhajir Madiwa - 12

Mlalo

Pangani
Jumaa Awesso - 281

Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza
Korogwe Mjini
Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini

7. GEITA
Geita Mjini
Geita Vijijini
Busanda
Mbogwe

Nyang'hwale
Hussen Nasoro Kasu - 355
John William Kabiki - 30
Frank Henry Magili - 2-

Bukombe
Doto Biteko - 555

Chato


8. MBEYA/SONGWE

Mbeya mjini - Kura 924

Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00

Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi

Vwawa
Japhet Hasunga - 552
Erick Minga - 129

Momba
Tunduma
Chunya

Kyela
Ally Mlagila Jumbe (Kinanasi) 502
Hanta Albert Mwakifuna 288
Dr. Harison George Mwakyembe 252

Busokelo
Lupa

9. MANYARA

Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro

10. KILIMANJARO

Hai

Siha
Dk. Godwin Mollel - 148
Aggrey Mwanry - 147
Tumsifu Kweka - 53


Moshi Mjini - Kura 370
Ibrahim Shayo - 140
Priscus Tarimo - 137
Beno Malisa - 23

Mwanga
Anania Thadayo - 176
Profesa Jumanne Maghembe - 130

Same Magharibi
Moshi Vijijini

Vunjo - Kura 567
Enock Koola - 187
Dk. Charles Kimei - 178
Crispin Meela - 47

Rombo
Profesa Adolf Mkenda - 286
Anthony Mseke - 87
Colman Samora Kanje - 31

11. MOROGORO

Gairo
Shabiby - 532
Dkt.Mmasa Joel - 8
Shehewa Chiduo - 6

Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki

Morogoro Mjini - Kura 638
1. Abdul-Aziz Abood - 524
2. Merkiory Manset - 17
3. Ally Yahaya Simba - 15
4. Idhah Omary Abdalah (Alsaedy) - 10

Mvomero
Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki

12. MTWARA
Mtwara Mjini
Judith Nguli - 126
Hassan Mtenga - 94
Mussa Chimae

Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.

Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda

Newala Mjini - Kura 526
George Mkuchika - 319
Rashidi Mtima - 121
Karimu Lichela - 42

Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi

13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini

Liwale - Kura 482
Faith Mitambo - 363
Zuberi Kuchauka - 71
Halifa Kujakila

Mtama
Nape Nnauye - 496
Nahonyo Cuthbert 177
Chiwinga Aushuatino - 42

Mchinga
Nachingwea

Ruangwa
Majaliwa Kassim Majaliwa - Alikuwa peke yake

14. KATAVI
Katavi
Kavuu
Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo

15. NJOMBE

Njombe Kaskazini
Njombe Kusini

Makambako
Deo Sanga - 421
Robert Msigwa - 29
Mhandishi Sostenes Ngogo - 20

Wanging'ombe
Makete
Ludewa

Lupembe 421
Edwin Swale - 138 kati ya kura 421
Jorum Hongoli - 61


16. DODOMA
Bahi
Chemba
Chilonwa
Dodoma Mjini

Kibakwe
George Simbachawene - 667
Kwame Mwaga - 152
Augustine Gailanga -19

Kondoa Mjini
Kondoa Vijijini

Kongwa - Kura 889
Job Ndugai - 850
Dkt. Samora Mshanga - 20
Isaya - Mngulumi - 19

Mpwapwa

Mtera
Livingstone Lusinde - 571
Dkt. Michael Msende - 120
Mwanga Chibago - 37

17. MWANZA

Buchosa - Kura 751

Dkt. Charles Tizeba - 354
Erick Shigongo - 354

Ilemela - Kura 685
Dkt. Angeline Mabula - 502
Israel Mtambalike - 112

Kwimba
Magu

Misungwi
Alexander Mnyeti - 406
Charles Kitwanga - 259

Nyamagana
Stanslaus Mabula 319
John Nzwalile 54
Nzilanyingi John Francisco 46

Sengerema
Sumve
Ukerewe


18. RUVUMA
Songea Mjini
Nyasa
Tunduru Kaskazini
Tunduru Kusini

Peramiho
Jenister Mhagama - 845

Madaba
Namtumbo
Mbinga Mjini
Mbinga Vijijini

19. RUKWA
Sumbawanga Mjini
Nkansi Kaskazini
Nkansi Kusini
Kwela
Kalambo

20. KAGERA
Biharamulo
Bukoba Mjini
Bukoba Vijijini

Karagwe
Innocent Bashungwa - 587
Joseph Kahama - 48
Vedasto Gotfrida - 7

Kyerwa
Muleba Kaskazini
Muleba Kusini
Ngara
Nkenge

21. MARA
Bunda Mjini
Bunda Vijijini

Butiama
Jumanne Sagini - 84.
Frank Mahemba - 80
Joseph Nyamboha -

Musoma Mjini

Musoma Vijijini
Profesa Sosipeter Muhongo - 391
Joseph Nyamarege - 50
Maganga Paschal - 35

Rorya
Serengeti
Tarime Vijijini
Tarime Mjini

22. SHINYANGA
Kahama Mjini
Kishapu
Msalala
Shinyanga Mjini
Solwa
Ushetu

23. SIMIYU
Bariadi
Busega
Itilima

Kisesa
Luhaga Mpina - 316
Musa Mbuga - 152
Itandula Gambamala - 9

Maswa Mashariki
Maswa Magharibi
Meatu

24. KIGOMA
Buyungu

Kasulu Mjini
Prof. Joyce Ndalichako - 405
Daniel Nsanzugwanko - 80

Kasulu Vijijini
Kigoma Kaskazini
Kigoma Kusini/Uvinza
Kigoma Mjini
Manyovu
Muhambwe


25. ARUSHA

Arusha Mjini

Mrisho Gambo - 333
Philemon Mollel - 68
Albert Msando - 19

Karatu

Arumeru Magharibi

Arumeru Mashariki
Dkt. John D Pallangyo - 536
Dkt. Daniel M Pallangyo - 63
Joshua Nassari - 26.

Longido

Monduli

Ngorongoro

HABARI: Cosato Chumi ameshinda kura za maoni kuwania ubunge Mafinga Mjini kwa tiketi ya CCM baada ya kupata kura 135 kati ya 293-MCL
Jul 20 4:14pm
HABARI: Abbas Tarimba ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Kinondoni baada ya kupata kura 171 akifuatiwa na Idd Azan aliyepata kura 77. kura zilizopigwa zilikuwa 403-MCL
Jul 20 5:30pm
HABARI: Enock Koola ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Vunjo baada ya kupata kura 187 akifuatiwa na Charles Kimei aliyepata kura 178. kura zilizopigwa zilikuwa 567-MCL
Jul 20 5:40pm
HABARI: Mussa Azan Zungu ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Ilala baada ya kupata kura 148 akifuatiwa na Sophia Mjema aliyepata kura 103. kura zilizopigwa zilikuwa 278-MCL
Jul 20 5:46pm
HABARI: AbdulAziz Abood ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Morogoro Mjini baada ya kupata kura 524 akifuatiwa na Merkiory Manset aliyepata kura 17. kura zilizopigwa zilikuwa 638-MCL
Jul 20 5:51pm
HABARI: Japhet Hasunga ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Viwawa baada ya kupata kura 552 akifuatiwa na Erick Minga aliyepata kura 129-MCL
Jul 20 5:56pm
HABARI: Dotto Biteko ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Bukombe baada ya kupata kura 555 kati ya 569-MCL
Jul 20 5:59pm
HABARI: Dk Godwin Molel ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Siha kwa kupata kura 148, akifuatiwa na Agrey Mwanry aliyepata kura 147-MCL
Jul 20 6:03pm
HABARI: Prof Joyce Ndalichako ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Kasulu Mjini kwa kupata kura 405, akifuatiwa na Daniel Nsanzugwanko aliyepata kura 80 kati ya 501-MCL
Jul 20 6:09pm
HABARI: Ibrahim Shayo ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Moshi Mjini kwa kupata kura 140, akifuatiwa na Priscus Tarimo aliyepata kura 137, kura zilizopigwa zilikuwa 370-MCL
Jul 20 6:15pm
HABARI: Ahmed Shabiby ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Gairo kwa kupata kura 532, akifuatiwa na Joel Mmasa aliyepata kura 8, kura zilizopigwa zilikuwa 590-MCL
Jul 20 6:30pm
HABARI: Naibu Spika Dk Tulia Ackson ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Mbeya Mjini kwa kupata kura 843, akifuatiwa na Hamande Mabula aliyepata kura 16, kura zilizopigwa zilikuwa 885-MCL
Jul 20 6:38pm
HABARI: Anne Kilango Malecela ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Same Mashariki kwa kupata kura 258, akifuatiwa na Florence Masunga aliyepata kura 51-MCL
Jul 20 6:44pm
HABARI: Livingstone Lusinde ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Mtera kwa kupata kura 571, akifuatiwa na Dk Michael Msendekwa aliyepata kura 122-MCL
Jul 20 7:06pm
HABARI: Abas Mtemvu ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Temeke kwa kupata kura 203, akifuatiwa na Doroth Kilave aliyepata kura 182, kura zilizopigwa zilikuwa 583-MCL
Jul 20 7:11pm
HABARI: Dk Charles Tizeba na Erick Shigongo wametoshana nguvu katika kura za maoni za CCM kuwania Ubunge wa Buchosa baada ya kupata kura 354 kila mmoja kati ya kura 751 zilizopigwa-MCL
Jul 20 7:22pm
HABARI: Prof Kitila Mkumbo ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Ubungo kwa kupata kura 172, akifuatiwa na Mwantumu Mgonja aliyepata kura 73, kura zilizopigwa zilikuwa 375-MCL
Jul 20 7:27pm
HABARI: Dk Faustine Ndugulile ameshinda kura za maoni CCM kuwania Ubunge wa Kigamboni kwa kupata kura 190, akifuatiwa na Paul Makonda aliyepata kura 122-MCL
Jul 20 7:32pm
HABARI: Adolf Mkenda ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Rombo kwa kupata kura 285, akifuatiwa na Anthony Mseke aliyepata kura 87 -MCL
Jul 20 8:28pm
HABARI: George Simbachawene ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Kibakwe kwa kupata kura 667, akifuatiwa na Kwame Mwaga aliyepata kura 151 kati ya kura 894 zilizopigwa -MCL
Jul 20 8:33pm
HABARI: Peter Serukamba ameshinda kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Kigoma Kaskazini kwa kupata kura 261, akifuatiwa na Assa Makaniki aliyepata 81 na aliyepata kura Seleman Mvunge 51-MCL
29 min
HABARI: Charles Sungura ameshinda kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Handeni Vijijini kwa kupata kura 168, akifuatiwa na Mboni Mhita aliyepata kura 136 na Ramadhan Diliwa akipata kura 135-MCL
24 min
HABARI: Jimbo la Mwanga kura za maoni CCM, Profesa Jumanne Maghembe ambaye amekuwa mbunge kwa vipindi vinne ameshika nafasi ya pili akipata kura 130 huku wakili Joseph Tadayo aliyeongoza akipata kura 176 na Shabibu Mruma amepata kura 56-MCL
18 min
HABARI: Jimbo la Kigoma Kusini kura za maoni CCM, Hasna Mwilima ameshinda kwa kupata kura 273 akifuatiwa na Nashon Bidyanguze mwenye kura 118, January Kizito kura 118 huku David Kafulila akipata kura 64-MCL
 
Angalia tu jina Prof Joyce Lazaro Ndalichako.

Hicho tu kinampunguzia kura Kigoma Ujiji.

Ujiji panamfaa Zitto Zuberi na Abdul Nondo
Na yule Serukamba nae jina lake ni Abdulkareem, au?! Hivi nyie watu mbona mnapenda sana kuendekeza udini? Tena Serukamba alikuwa Mbunge pale wakati CHADEMA ina nguvu kweli kweli Kigoma.

Licha ya propaganda za CCM kwamba CHADEMA ni Chama cha Wakristo lakini Kabouru akaigeuza Kigoma kuwa ngome ya CHADEMA!!

Sasa hayo mambo ya kuangalia majina mnayatoa wapi?
 
Yaani ni hivi CCM ni chama cha Ulaji, sasa utawala huu mpya umekata ule utamaduni wa Ulaji uliozoeleka kwa wana CCM miaka yote.

Nikupe Mfano kwetu nilipozaliwa kuna Uwanja mkubwa wa CCM ambao umezungushwa maduka na ndani wanalaza magari.

Kabla ya JPM ile pesa nyingi ilikuwa inaishia kwenye kunufaisha makada wa eneo letu.

Kama unakumbuka ikaundwa kamati ya mali na namna pesa za chama zinahifadhiwa.

Hii inafanya kuwa watu wachache sana walio kwenye Cycle ya JPM ambao wanakula cake ya nchi.

Hii ya Jana na itakayotokea leo kuwakataa Watia nia wenye ukaribu na Mh Rais kwa kiingereza ni "Protest Vote" Protest Vote hutokea pale ambapo raia hawasikilizwi kwa hiyo hasira yao wanamalizia kwenye sanduku la Kura kwa kumchagua yule ambaye ni mpinzani wa kiongozi.

Nadhani nimeelezea vizuri.
Lakini lipo tatizo la wateuliwa kudhani hawawajibiki kwenye chama, hayo ndio matokeo yake, una shindwaje kuwashawishi voters 300? Kingine Ni uroho wa madaraka na dharau, kwani angeenda ukonga kibamba ubunge kawe angeshindwa nn? Na hata angeshindwa huko tungejua alienda kukipambania chama kulikoni kwenda kubanana na ndugulile, kwanza mumemtimua uwaziri bado mnamfuatafuata
 
Usisahau vikao vya maamuzi bado havijakaa,humor ndimo kuna kamati za fitna/figisu na kula kiinimacho.
 
Bashite alirukia jimbo la Kigamboni baada ya kuona Kawe na Ubungo ni kina ki refu. Tofauti na Tulia aliyejipnga Mbeya tangu 2016.
Kweli la kuvunda halina ubani. Pamoja na kuaa mkuu wa mkoa alishindwa kabisa kujipitisha Kigamboni mapema mpaka akaibuka huko jua limezama. Ni aibu amepata.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Tena Dokta ndio alikuwa ametoka kutumbuliwa.

Kwa hiyo ilikuwa obvious kama anashinda mapema.
Mwenyekiti anaweza kuamka vibaya siku ya kumpitisha mgombea wa Kigamboni na jina la Dokta likala mkasi lakini wananchi wamemtumia ujumbe mzuri mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom