Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi
Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni
10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni
10,321.
Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.
------ UPDATE: MATOKEO YA KURA ZA MAONI -----
1. DAR ES SALAAM
Kinondoni
Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11
Kigamboni - Kura 399
Dkt. Faustine Ndugulile - 190
Paul Makonda - 122
Ansar Kachwamba - 39
Kawe
Ilala
Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6
Kibamba
Ubungo - Kura 375
Prof. Kitila Mkumbo - 172
Bi.Mwantum Mgonja - 73
Segerea
Bonnah Kamoli - 365
Asaa Simba - 41
Shaabani Oromi - 20
Ukonga
Temeke - Kura 367
Abbas Mtemvu - 203
Doris Kilave - 182
Abdallah Mtolea - 22.
2. SINGIDA
Iramba Magharibi
Singida Mjini
Musa Ramadhan Sima - 158
Charles Kisuke - 124
Hassan Mazala - 92
Singida Kaskazini
Iramba Mashariki
Iramba Magharibi
Manyoni Magharibi
Manyoni Mashariki
Singida Mashariki
Singida Magharibi
3. TABORA
Bukene
Igalula
Igunga
Kaliua
Manonga
Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2
Nzega Vijijini
Sikonge
Tabora Mjini
Ulyankulu
Urambo
Uyui
4. PWANI
Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588
Chalinze
Ridhiwan Kikwete - 369
Ramadhan Maneno - 273
Said Zikatimu - 223
Bagamoyo
Kibaha Mjini
Kibaha Vijijini
Hamoud Jumaa - 332
Michael Makamo - 33
Hussein Juma -31
Mafia
Mkuranga
Abdallah Ulega - 1138
Ramadhan Mlao - 50
Ally Mawe - 7
Kibiti
Rufiji
5. IRINGA
Isimani
Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0
Iringa Mjini
Jesca Msambatavangu - 190
Nguvu Chengula - 75
Ibrahim Ngwada - 44
Kalenga
Kilolo
Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122
Mufindi Kaskazini
Mufindi Kusini
6. TANGA
Tanga Mjini
Bumbuli
January Makamba - 680
Abdulkadir Kaniki - 21
Muhajir Madiwa - 12
Mlalo
Pangani
Jumaa Awesso - 281
Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza
Korogwe Mjini
Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini
7. GEITA
Geita Mjini
Geita Vijijini
Busanda
Mbogwe
Nyang'hwale
Hussen Nasoro Kasu - 355
John William Kabiki - 30
Frank Henry Magili - 2-
Bukombe
Doto Biteko - 555
Chato
8. MBEYA/SONGWE
Mbeya mjini - Kura 924
Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00
Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi
Vwawa
Japhet Hasunga - 552
Erick Minga - 129
Momba
Tunduma
Chunya
Kyela
Ally Mlagila Jumbe (Kinanasi) 502
Hanta Albert Mwakifuna 288
Dr. Harison George Mwakyembe 252
Busokelo
Lupa
9. MANYARA
Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro
10. KILIMANJARO
Hai
Siha
Dk. Godwin Mollel - 148
Aggrey Mwanry - 147
Tumsifu Kweka - 53
Moshi Mjini - Kura 370
Ibrahim Shayo - 140
Priscus Tarimo - 137
Beno Malisa - 23
Mwanga
Anania Thadayo - 176
Profesa Jumanne Maghembe - 130
Same Magharibi
Moshi Vijijini
Vunjo - Kura 567
Enock Koola - 187
Dk. Charles Kimei - 178
Crispin Meela - 47
Rombo
Profesa Adolf Mkenda - 286
Anthony Mseke - 87
Colman Samora Kanje - 31
11. MOROGORO
Gairo
Shabiby - 532
Dkt.Mmasa Joel - 8
Shehewa Chiduo - 6
Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki
Morogoro Mjini - Kura 638
1. Abdul-Aziz Abood - 524
2. Merkiory Manset - 17
3. Ally Yahaya Simba - 15
4. Idhah Omary Abdalah (Alsaedy) - 10
Mvomero
Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki
12. MTWARA
Mtwara Mjini
Judith Nguli - 126
Hassan Mtenga - 94
Mussa Chimae
Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.
Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda
Newala Mjini - Kura 526
George Mkuchika - 319
Rashidi Mtima - 121
Karimu Lichela - 42
Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi
13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini
Liwale - Kura 482
Faith Mitambo - 363
Zuberi Kuchauka - 71
Halifa Kujakila
Mtama
Nape Nnauye - 496
Nahonyo Cuthbert 177
Chiwinga Aushuatino - 42
Mchinga
Nachingwea
Ruangwa
Majaliwa Kassim Majaliwa - Alikuwa peke yake
14. KATAVI
Katavi
Kavuu
Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo
15. NJOMBE
Njombe Kaskazini
Njombe Kusini
Makambako
Deo Sanga - 421
Robert Msigwa - 29
Mhandishi Sostenes Ngogo - 20
Wanging'ombe
Makete
Ludewa
Lupembe 421
Edwin Swale - 138 kati ya kura 421
Jorum Hongoli - 61
16. DODOMA
Bahi
Chemba
Chilonwa
Dodoma Mjini
Kibakwe
George Simbachawene - 667
Kwame Mwaga - 152
Augustine Gailanga -19
Kondoa Mjini
Kondoa Vijijini
Kongwa - Kura 889
Job Ndugai - 850
Dkt. Samora Mshanga - 20
Isaya - Mngulumi - 19
Mpwapwa
Mtera
Livingstone Lusinde - 571
Dkt. Michael Msende - 120
Mwanga Chibago - 37
17. MWANZA
Buchosa - Kura 751
Dkt. Charles Tizeba - 354
Erick Shigongo - 354
Ilemela - Kura 685
Dkt. Angeline Mabula - 502
Israel Mtambalike - 112
Kwimba
Magu
Misungwi
Alexander Mnyeti - 406
Charles Kitwanga - 259
Nyamagana
Stanslaus Mabula 319
John Nzwalile 54
Nzilanyingi John Francisco 46
Sengerema
Sumve
Ukerewe
18. RUVUMA
Songea Mjini
Nyasa
Tunduru Kaskazini
Tunduru Kusini
Peramiho
Jenister Mhagama - 845
Madaba
Namtumbo
Mbinga Mjini
Mbinga Vijijini
19. RUKWA
Sumbawanga Mjini
Nkansi Kaskazini
Nkansi Kusini
Kwela
Kalambo
20. KAGERA
Biharamulo
Bukoba Mjini
Bukoba Vijijini
Karagwe
Innocent Bashungwa - 587
Joseph Kahama - 48
Vedasto Gotfrida - 7
Kyerwa
Muleba Kaskazini
Muleba Kusini
Ngara
Nkenge
21. MARA
Bunda Mjini
Bunda Vijijini
Butiama
Jumanne Sagini - 84.
Frank Mahemba - 80
Joseph Nyamboha -
Musoma Mjini
Musoma Vijijini
Profesa Sosipeter Muhongo - 391
Joseph Nyamarege - 50
Maganga Paschal - 35
Rorya
Serengeti
Tarime Vijijini
Tarime Mjini
22. SHINYANGA
Kahama Mjini
Kishapu
Msalala
Shinyanga Mjini
Solwa
Ushetu
23. SIMIYU
Bariadi
Busega
Itilima
Kisesa
Luhaga Mpina - 316
Musa Mbuga - 152
Itandula Gambamala - 9
Maswa Mashariki
Maswa Magharibi
Meatu
24. KIGOMA
Buyungu
Kasulu Mjini
Prof. Joyce Ndalichako - 405
Daniel Nsanzugwanko - 80
Kasulu Vijijini
Kigoma Kaskazini
Kigoma Kusini/Uvinza
Kigoma Mjini
Manyovu
Muhambwe
25. ARUSHA
Arusha Mjini
Mrisho Gambo - 333
Philemon Mollel - 68
Albert Msando - 19
Karatu
Arumeru Magharibi
Arumeru Mashariki
Dkt. John D Pallangyo - 536
Dkt. Daniel M Pallangyo - 63
Joshua Nassari - 26.
Longido
Monduli
Ngorongoro
HABARI: Cosato Chumi ameshinda kura za maoni kuwania ubunge Mafinga Mjini kwa tiketi ya CCM baada ya kupata kura 135 kati ya 293-MCL
Jul 20 4:14pm
HABARI: Abbas Tarimba ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Kinondoni baada ya kupata kura 171 akifuatiwa na Idd Azan aliyepata kura 77. kura zilizopigwa zilikuwa 403-MCL
Jul 20 5:30pm
HABARI: Enock Koola ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Vunjo baada ya kupata kura 187 akifuatiwa na Charles Kimei aliyepata kura 178. kura zilizopigwa zilikuwa 567-MCL
Jul 20 5:40pm
HABARI: Mussa Azan Zungu ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Ilala baada ya kupata kura 148 akifuatiwa na Sophia Mjema aliyepata kura 103. kura zilizopigwa zilikuwa 278-MCL
Jul 20 5:46pm
HABARI: AbdulAziz Abood ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Morogoro Mjini baada ya kupata kura 524 akifuatiwa na Merkiory Manset aliyepata kura 17. kura zilizopigwa zilikuwa 638-MCL
Jul 20 5:51pm
HABARI: Japhet Hasunga ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Viwawa baada ya kupata kura 552 akifuatiwa na Erick Minga aliyepata kura 129-MCL
Jul 20 5:56pm
HABARI: Dotto Biteko ameshinda kura ya maoni CCM kuwania Ubunge wa Bukombe baada ya kupata kura 555 kati ya 569-MCL
Jul 20 5:59pm
HABARI: Dk Godwin Molel ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Siha kwa kupata kura 148, akifuatiwa na Agrey Mwanry aliyepata kura 147-MCL
Jul 20 6:03pm
HABARI: Prof Joyce Ndalichako ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Kasulu Mjini kwa kupata kura 405, akifuatiwa na Daniel Nsanzugwanko aliyepata kura 80 kati ya 501-MCL
Jul 20 6:09pm
HABARI: Ibrahim Shayo ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Moshi Mjini kwa kupata kura 140, akifuatiwa na Priscus Tarimo aliyepata kura 137, kura zilizopigwa zilikuwa 370-MCL
Jul 20 6:15pm
HABARI: Ahmed Shabiby ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Gairo kwa kupata kura 532, akifuatiwa na Joel Mmasa aliyepata kura 8, kura zilizopigwa zilikuwa 590-MCL
Jul 20 6:30pm
HABARI: Naibu Spika Dk Tulia Ackson ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Mbeya Mjini kwa kupata kura 843, akifuatiwa na Hamande Mabula aliyepata kura 16, kura zilizopigwa zilikuwa 885-MCL
Jul 20 6:38pm
HABARI: Anne Kilango Malecela ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Same Mashariki kwa kupata kura 258, akifuatiwa na Florence Masunga aliyepata kura 51-MCL
Jul 20 6:44pm
HABARI: Livingstone Lusinde ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Mtera kwa kupata kura 571, akifuatiwa na Dk Michael Msendekwa aliyepata kura 122-MCL
Jul 20 7:06pm
HABARI: Abas Mtemvu ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Temeke kwa kupata kura 203, akifuatiwa na Doroth Kilave aliyepata kura 182, kura zilizopigwa zilikuwa 583-MCL
Jul 20 7:11pm
HABARI: Dk Charles Tizeba na Erick Shigongo wametoshana nguvu katika kura za maoni za CCM kuwania Ubunge wa Buchosa baada ya kupata kura 354 kila mmoja kati ya kura 751 zilizopigwa-MCL
Jul 20 7:22pm
HABARI: Prof Kitila Mkumbo ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Ubungo kwa kupata kura 172, akifuatiwa na Mwantumu Mgonja aliyepata kura 73, kura zilizopigwa zilikuwa 375-MCL
Jul 20 7:27pm
HABARI: Dk Faustine Ndugulile ameshinda kura za maoni CCM kuwania Ubunge wa Kigamboni kwa kupata kura 190, akifuatiwa na Paul Makonda aliyepata kura 122-MCL
Jul 20 7:32pm
HABARI: Adolf Mkenda ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Rombo kwa kupata kura 285, akifuatiwa na Anthony Mseke aliyepata kura 87 -MCL
Jul 20 8:28pm
HABARI: George Simbachawene ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Kibakwe kwa kupata kura 667, akifuatiwa na Kwame Mwaga aliyepata kura 151 kati ya kura 894 zilizopigwa -MCL
Jul 20 8:33pm
HABARI: Peter Serukamba ameshinda kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Kigoma Kaskazini kwa kupata kura 261, akifuatiwa na Assa Makaniki aliyepata 81 na aliyepata kura Seleman Mvunge 51-MCL
29 min
HABARI: Charles Sungura ameshinda kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Handeni Vijijini kwa kupata kura 168, akifuatiwa na Mboni Mhita aliyepata kura 136 na Ramadhan Diliwa akipata kura 135-MCL
24 min
HABARI: Jimbo la Mwanga kura za maoni CCM, Profesa Jumanne Maghembe ambaye amekuwa mbunge kwa vipindi vinne ameshika nafasi ya pili akipata kura 130 huku wakili Joseph Tadayo aliyeongoza akipata kura 176 na Shabibu Mruma amepata kura 56-MCL
18 min
HABARI: Jimbo la Kigoma Kusini kura za maoni CCM, Hasna Mwilima ameshinda kwa kupata kura 273 akifuatiwa na Nashon Bidyanguze mwenye kura 118, January Kizito kura 118 huku David Kafulila akipata kura 64-MCL