Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Mbunge aliyatamba na kupata jina katika awamu yake moja ya ubunge (2010-2015) chini ya NCCR-Mageuzi bwana David kafulila amepigwa za uso na Mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo Hilo,Hasna Mwilima.
Dhambi ya usaliti wa upinzani haitawaacha salama, wajifunze kulidhika.View attachment 1512628

Kafulila hajatoa hata sent 5. Na ndy mgombea wa ubunge kwa taarifa yko
 
Bashite alirukia jimbo la Kigamboni baada ya kuona Kawe na Ubungo ni kina ki refu. Tofauti na Tulia aliyejipnga Mbeya tangu 2016.
Halafu haelewani na DC Ubungo. Yaani kiujumla wasaidizi wake hawako happy hivyo support hana kabisa. Mtu mwenye akili na utashi huwezi kumuunga Makonda mkono hata kidogo. Uongozi kwake aliutumia sana kujijenga yeye na kujiona wa juu kuliko wote. Clips zake hazina heshima kabisa. Kiburi kikubwa kwa wakubwa zake wengine kisa eti amebebwa kwenye Mbeleko. Iko siku itakatika.
 
Mbunge aliyatamba na kupata jina katika awamu yake moja ya ubunge (2010-2015) chini ya NCCR-Mageuzi bwana David kafulila amepigwa za uso na Mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo Hilo,Hasna Mwilima.
Dhambi ya usaliti wa upinzani haitawaacha salama, wajifunze kulidhika.View attachment 1512628
Watu wengine sijui mataahira? hivi kwenye hiyo list alitegemea kushinda?
 
Musukuma huko Geita nasikia Hali sio nzuri mwenye taarifa sahihi atujuze
 
Back
Top Bottom