Kafulila hajatoa hata sent 5. Na ndy mgombea wa ubunge kwa taarifa yko
 
Bashite alirukia jimbo la Kigamboni baada ya kuona Kawe na Ubungo ni kina ki refu. Tofauti na Tulia aliyejipnga Mbeya tangu 2016.
Halafu haelewani na DC Ubungo. Yaani kiujumla wasaidizi wake hawako happy hivyo support hana kabisa. Mtu mwenye akili na utashi huwezi kumuunga Makonda mkono hata kidogo. Uongozi kwake aliutumia sana kujijenga yeye na kujiona wa juu kuliko wote. Clips zake hazina heshima kabisa. Kiburi kikubwa kwa wakubwa zake wengine kisa eti amebebwa kwenye Mbeleko. Iko siku itakatika.
 
Watu wengine sijui mataahira? hivi kwenye hiyo list alitegemea kushinda?
 
Musukuma huko Geita nasikia Hali sio nzuri mwenye taarifa sahihi atujuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…