Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...

Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
Gwajima wapi wewe?? Labda kula madhabahuni
 
Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...

Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
Mama Anjelina aliwahi kuwa Mbunge afrika mashariki sio mtu mdogo kihivyoo na ni mzoefu zaidi ya huyo Gwajima pia anakubalika haswa kwa wamama wenzake, huyo Furaha pia yupo vizuri amewekeza kwenye jimbo la kawe na anafahamika sio kwa wote lakini anajulikana. nadhani aliyeshinda apewe kiti akapambane wengine watamsupport.
 
Furaha - 101
Kiziga - 85
Gwajima - 79
Haya sasa Porn Star amedondokea kiuno,
no more porn videos.
Nimefurahi balaa. Furaha yangu inazidi kua kubwa siku hadi siku. Jana nimefurahi nikajikuta nakula zaidi ya diet plan yangu. Leo mwendo ni ule ule. Hapa natafta sehemu nzuri jioni nile na nipate mtoto mzuri akaniongezee furaha.
 
Unazungumza kitu muhimu sana , lakini muda umefika tuzungumzie issues na sio watu, mtandao wetu unapaswa uwe juu kuliko kushinda kuzungumzia watu tuu.
Uchaguzi Mkoa wa DSM hasa wa mwanamfalme ndiyo umefanya somo kubwa na ikakuta ni mtu tu anazungumziwa. Huko social media ni clips zake tu za maneno aliyoyatamka huko nyuma. Utafikiri ni yeye mtia nia pekee Tanzania nzima. Ajitafakari
 
Mkoa wa Kigoma
Kigoma Kaskazin
i
Peter Serukamba 261
Asa Makanike 81
Suleiman Hanzuruni 51
 
Chama cha wanyonge...... JE WANAOPITISHWA NI WANYONGE?

Chama cha wakulima na wafanyakazi.... JE WANAOPITISHWA NI WAKULIMA NA WAFANYAKAZI?

Ccm ni chama cha mafisadi na ukoo wa panya unaolitafuna taifa....
kwani mfanyabiashara sio mfanyakazi? Angekuwa hafanyi kazi angekuwa na biashara? Gwajima sio mfanyakazi ? Angekuwa hafanyi kazi angekuwa na waumini na kanisa? Mfano Bakheresa sio mfanyakazi angekuwa hafanyi kazi angemiliki mali zote zile?

Au kwako tafsiri ya mfanyakazi ni ipi?
 
Wajumbe walikuwa zaidi ya 400
Ndiyo wamegawana hadi tatu bora wamebaki na hizo.

Kwa maelezo zaidi soma mkeka huu
IMG-20200721-WA0033.jpg
 
Mama Anjelina aliwahi kuwa Mbunge afrika mashariki sio mtu mdogo kihivyoo na ni mzoefu zaidi ya huyo Gwajima pia anakubalika haswa kwa wamama wenzake, huyo Furaha pia yupo vizuri amewekeza kwenye jimbo la kawe na anafahamika sio kwa wote lakini anajulikana. nadhani aliyeshinda apewe kiti akapambane wengine watamsupport.
Acha kueneza usolijua. Anjela hana kitu huyo!
 
Back
Top Bottom