Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Nijua
Inaonekana huna exposure ya kutosha kujua desturi za sehemu husika.

Mfano Moshi ni Wakristo. Ila kinachoamua ni nani awe Mbunge ni mgombea kuwa mzawa wa asili wa eneo husika.

Akiwa muislamu hawezi kushinda labda awe na msimamo wa wastani na pia eneo husika kuwe na waislamu wengi na wasabato mfano same na mwanga
Nadhani udini sio factor muhimu kwa Jamii iliyopevuka km Huko Mwanga ambako tumeshuhudia Alianza Davis Msuya(Mkristo) akafata Jumanne Maghembe (Muislam) Sasa CCM wamemchagua Joseph Tadayo ambaye ni Mkristo.
Hapa tunajifunza kuna wenzetu wanaangalia Uwezo na mahitaji yao ya wakati husika. Mfano zama za Msuya wenzetu kipaumbeke kilikuwa Kumpata mtu atakayekwenda kupewa nafasi Fulani ya uongozi ngazi ya Waziri ili awasaidie Kutengeneza Mtandao wa kusukuma Maendeleo kwao na kuwapa elimu na ajira. Alipofika Maghembe na yeye tulishuhudia akifanya Elimu na Maendeleo kwao huku akiwa ametoa jibu la udini sababu miaka yote hiyo hatujasikia Jamii yao ikilalanikia udini toka kwa mtangulizi wake hadi yeye na kwa hakika na yeyoye watakayempatia kijiti.

Tusisahau kuwa pia wenzetu familia moja inaweza kuwa na Member Mkristo Mwingine Muislam, Mlokole nk na wote hushirikiana katika Matukio ya imani zao bila kubaguana.
Inaonekana huna exposure ya kutosha kujua desturi za sehemu husika.

Mfano Moshi ni Wakristo. Ila kinachoamua ni nani awe Mbunge ni mgombea kuwa mzawa wa asili wa eneo husika.

Akiwa muislamu hawezi kushinda labda awe na msimamo wa wastani na pia eneo husika kuwe na waislamu wengi na wasabato mfano same na mwanga
 
Mtu pekee anayeweza kupambana na upinzani Dar es salaam na kushinda kihalali jimbo lolote lile ni Tarimba Abbas, Idd Azan na Zungu wa Ilala hao pekee ndio wanaweza kushinda jimbo lolote Dar es salaam kupitia CCM wengine itakuwa mbeleko tu...Dar inawenyewe kweli watoto wa mjini..
 
😂😂😂😂 hiyo TISS FAKE ya iliyojaa maccm!?

Ndio hiyo Hiyo Fake itamset, simshauli afungue mdomo kabisa kutoa Siri za Mh Raisi

Hata kama safari yake ya kisiasa imeishia hapa
 
Screenshot_20200721-161330.png
 
Back
Top Bottom