ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Ahahaahaaha Mashinji aibu yakeJimbo la KAWE:
1- Furaha Dominic Jacobo: 101✔
2- Angela Charles Kiziga: 85
3- Josephat Gwajima: 79
4- Benjamini Sitta: 61
Dkt Vicent Mashinji amepata kura 2
Kippi Warioba kura 3
Furaha ni ME au KE?
[/QUOTEM
Me
Gwajima hana mvuto kwa wananchi ndiyo maana kura zake za wajumbe ambao ni wananchi zimekua chache.
Rafiki yako Mashinji kapata kura mbili Kawe[emoji209]
Utamuona October!Sinaona mgombea wakupambana na Halima hapo labda uwe uamuzi wa NEC sio wananchi..
Nadhani udini sio factor muhimu kwa Jamii iliyopevuka km Huko Mwanga ambako tumeshuhudia Alianza Davis Msuya(Mkristo) akafata Jumanne Maghembe (Muislam) Sasa CCM wamemchagua Joseph Tadayo ambaye ni Mkristo.Inaonekana huna exposure ya kutosha kujua desturi za sehemu husika.
Mfano Moshi ni Wakristo. Ila kinachoamua ni nani awe Mbunge ni mgombea kuwa mzawa wa asili wa eneo husika.
Akiwa muislamu hawezi kushinda labda awe na msimamo wa wastani na pia eneo husika kuwe na waislamu wengi na wasabato mfano same na mwanga
Inaonekana huna exposure ya kutosha kujua desturi za sehemu husika.
Mfano Moshi ni Wakristo. Ila kinachoamua ni nani awe Mbunge ni mgombea kuwa mzawa wa asili wa eneo husika.
Akiwa muislamu hawezi kushinda labda awe na msimamo wa wastani na pia eneo husika kuwe na waislamu wengi na wasabato mfano same na mwanga
Ni 2 + 1 = condomMashinji imekula Kwame kama wenzake.
CV yake?Huyu ndo Komredi Furaha DOMINICK JACOB
View attachment 1512845
Akili zako ziko kama hiyo avatar yako mkuu. Hivyo hukukosea kujiita bujibuji.
Tale alishaliwa kichwa janaMwita Waitara ????Babu Tale ????
😂😂😂😂 hiyo TISS FAKE ya iliyojaa maccm!?
Nakuona jane lowassaTunaomba CV ya Furaha
Usaliti umekuwa laana kubwa sana, inayoweza kukitafuna hadi kizazi chake cha nne!Mashinji imekula Kwame kama wenzake.