Sumbawanga mjini, lupa, mbeya vijijini mwenye updates wakuu .....
 
Huyo Eliya ndio Elia Michael aliyekuwa CDM?

Amandla...
 
Hiyo kura moja sio yake mkuu kwani wanaopiga kura ni wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo/wilaya husika. Na najua yeye si mjumbe kwa hakika.
 
Wadau, hivi huyo Selemani Nchambi ameruhudiwa vipi kugombea Ubunge na CCM wakati alihukumiwa na mahakama kwa kosa la kuhujumu uchumi?

Vv
 
Nasikia nae ' Kaambulia ' Kura Moko ( Moja ) tu kama Yule Mdau mwingine wa hapa Mr. Njaa Naombeni Msamaha alivyoijua ' Cow Way ' vyema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] safiiiiiiih sanaaaaah
 
Idara za uhamiaji mapema wamchunguze huyo mtia nia anaweza akawa si na wapinzani wakapata mahali pa kusemea
Nkurunzinza Ni daktari mkuu wa hospitali teule ya Biharamulo wa miaka mingi tu huyo ni mtanzania
 
Nimefatilia kiasi chaguzi kadhaa hizi za mchujo na kuona wagombea wakipewa muda wa kati ya dakika 1-3 kujinadi kwa wapigakura wao na hatimaye kutakiwa kuombakura.

Wakuu ninapata shida kuelewa ni kwa namna gani unaweza kutumia dakika moja au hata hizo 3 kushawishi mtu na kuhamasika kumpigia mtu kura.

Nachokiona hapa watu tayari wanakuwa na wagombea wao 'mifukoni' na kinachofanyika ni kukamilisha ratiba tu au mnasemaje?

Ubaya naouona wa mfumo huu wa 'ivisha maharage fastafasta' tunaweza kuwa tunapoteza wagombea wazuri kwa sababu watu hawapati muda wa kusikiliza na kupembua hoja za hawa wagombea.
 
Hakuna anapokubalika ndio maana amekuwa "myebusi" anahangaika makanisani na misikitini kutafuta huruma za "mafarisayo na masadukayo"
Huko tittwer ana haha km nn anaropoka tyuuuh, na visivyokuwepo km chizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…