Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Taarifa ambazo hazijadhibitishwa zinasema Tale amedondokea tumbo hadi ametapika mishkaki miwili na chips kavu alizokula jana usiku.
Mkuu nje ya mada,

Hapo nilipo-bold: Natumai ulikusudia kusema thibitishwa. Nimekua naona baadhi ya watu wanatumia. Hata Vodacom Mpesa. Ikabidi nifanye kuuliza magwiji wa Kiswahili ikiwemo mzee Barnabas Maro. Akanieleza hakuna neno kama hilo. Wengi tunakosea huku tukiwa na nia ya kumaanisha kuthibitishwa. Neno kudhibitishwa hakuna ktk Kiswahili fasaha.
 
Wakimpitisha sawa ila hama haiba na hana mtaji wa wapiga kura. Jimbo la kawe lipo hadi mabwepande hadi huko salasala na madale huko ndani msigani na kazaroho...huko mwenye mtaji wa hawa wapiga kura ni gwajima! Wanamkua vizuri huko na ana wafuasi tele...kama watampitisha mwingine ni maamuzi yao ila wajue tofauti na hapo mdee wa kumtoa kawe ni gwajima.
We boya hicho sio kigezo Cha mtu kutolewa jina lake ...

Rushwa ndio kigezo Cha mtu kutolewa acha kuota
 
Mkuu nje ya mada,

Hapo nilipo-bold: Natumai ulikusudia kusema thibitishwa. Nimekua naona baadhi ya watu wanatumia. Hata Vodacom Mpesa. Ikabidi nifanye kuuliza magwiji wa Kiswahili ikiwemo mzee Barnabas Maro. Akanieleza hakuna neno kama hilo. Wengi tunakosea huku tukiwa na nia ya kumaanisha kuthibitishwa. Neno kudhibitishwa hakuna ktk Kiswahili fasaha.
Basi sawa mkuu nimekuelewa.
 
Mnatetemeka tu sasa na bado sana maana ngarambe inaanzia kesho kutwa baada ya rais mtarajiwa kutua nchini.

Ndiyo mtaanza kujua hasira za watanzania kuwa pamoja na ukimya wao kumbe walikuwa na jambo lao.

Miaka 5 mmewanyima kufanya siasa sasa hii miezi 2 itatosha kuwafanya watoe hasira zao na kuwakataa wazi wazi
Wakimpitisha sawa ila hama haiba na hana mtaji wa wapiga kura. Jimbo la kawe lipo hadi mabwepande hadi huko salasala na madale huko ndani msigani na kazaroho...huko mwenye mtaji wa hawa wapiga kura ni gwajima! Wanamkua vizuri huko na ana wafuasi tele...kama watampitisha mwingine ni maamuzi yao ila wajue tofauti na hapo mdee wa kumtoa kawe ni gwajima.
 
Kwisha habari zenu, kwa taarifa yako hao woote watia nia 170 waliojitokeza hakuna mtu wa kushindana na mh Mdee kwa kawe akatoboa.
Kuna busara ya kikao cha watu 24, kuna kushinda pale kawe ndani ya sisiemu na kuna kushinda jimbo la kawe.
 
Back
Top Bottom