Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Salamu. Naomba sasa tupate wasifu wa watia nia ambao sasa wameshinda kuteuliwa kwenye majimbo katika hatua za kwanza kura za maoni.

Kwanza napongeza kwasababu sura nyingi ni mpya lakini tunaomba kuwajua sasa.
Mfano
Jimbo la
Segerea
Ukonga
Kinondoni
Kawe
Mbagala
Na mengine wasifu wao.

Pili turufu kubwa sasa itakayowachefua toka majimboni ni hawa walio shindwa wakaletewa wengine ambao hawajashinda. Na ona kama watu watapiga kura za hasira.
 
Kufuatia kwa mbunge mgombea anaposhindwa kwenye kura za maoni inawezekana ikawa amekosa kura za wajumbe (kura ya maoni)lakini mtu huyo huyo mnaemkata akawa ana maji wa wapiga kura kuliko huyo mnaempetisha.

Mnaweza mkata mtu kisa ameshindwa kwenye kura za maoni na akapitishwa yule alieshinda kwenye kura za maoni lakini huyo huyo aliepitishwa akawa hana mtaji wa wapiga kura kama yule mliemkata.kumbuka kura wanapiga ni wananchi wanachagua mtu wanaemtaka na sio yule mliemuweka eri kwa kuwa kashinda kura ya maoni,kwa hali hii kama ccm isipokuwa makini inawwza jikuta baadhi ya majimbo yakachukuliwa na upinzani kwa uzembe wao .
Ni hayo tuu nimewakumbusha
Binafsi natabiri maamuzi magumu yatafanywa na gwajima ndio mgombea wa sisiemu kwa kawe ktk kiti cha ubunge. Ni lazima kuangalia anavyokubalika kwa wapiga kura wa jimbo sima sio pale kawe ndani ya sisiemu. Wakofanya mzaha mdee anachukua jimbo mapema tu.
 
Mtihani ni mtihani yaani mawaziri wote wamefaulu isipokuwa mmoja tu tena yule mbobezi mwenye degree nne

Ngoja tusubiri kamati kuu.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu alishafeli kitambo ndani na nje ya chama, ni rushwa, magumashi na mbeleko ndio vilivyo muweka hapo alipokuwa, ila kwa kura hizi za hadharani hata mara mia ikirudiwa hatoboi
 
ero kamano ainya, okajaluo asedak kabwani miaka ya 90. Awinjo dholuo te mabher kabisa to okanyar wuoyo mabher. Nimemiss sana nyama choma ya kondoo na ugali wa udaga asubuhi na mapema. Hahahahahaha, Waluo ni wakarimu sana.
Omera ring piopio
 
Ushaanza kuwa kichaa mara tu baada ya kura za maoni, sijui itakuwaje baada ya October kumshuhudia mh Lissu akila kiapo
Hili ni ombi kwa kamati kuu ya CCM kwamba hawa wote walioongoza kwenye kura za maoni mkoani Dsm wanachagulika mwezi October hivyo wasikatwe Tafadhali.

Mwezi October ni wazi kabisa majimbo yote yanavhukuliwa na CCM.

CCM hoyeeeee........!

Maendeleo hayana vyama!
 
Binafsi natabiri maamuzi magumu yatafanywa na gwajima ndio mgombea wa sisiemu kwa kawe ktk kiti cha ubunge. Ni lazima kuangalia anavyokubalika kwa wapiga kura wa jimbo sima sio pale kawe ndani ya sisiemu. Wakofanya mzaha mdee anachukua jimbo mapema tu.
Tusubiri tuone je kama alieshia nafasi ya pili ndio atapitishwa au ni huyo huyo alienda kura ya maoni.
 
Kufuatia kwa mbunge mgombea anaposhindwa kwenye kura za maoni inawezekana ikawa amekosa kura za wajumbe (kura ya maoni)lakini mtu huyo huyo mnaemkata akawa ana maji wa wapiga kura kuliko huyo mnaempetisha.

Mnaweza mkata mtu kisa ameshindwa kwenye kura za maoni na akapitishwa yule alieshinda kwenye kura za maoni lakini huyo huyo aliepitishwa akawa hana mtaji wa wapiga kura kama yule mliemkata.kumbuka kura wanapiga ni wananchi wanachagua mtu wanaemtaka na sio yule mliemuweka eri kwa kuwa kashinda kura ya maoni,kwa hali hii kama ccm isipokuwa makini inawwza jikuta baadhi ya majimbo yakachukuliwa na upinzani kwa uzembe wao .
Ni hayo tuu nimewakumbusha
Ikiwa nimeshinda kura ya maoni ,CCM ikanikataa nahamia upinzani kwa lengo la kuwaongezea nguvu,dhuluma ya namna hii haikubaliki
 
Kudadadeeeki, mshaanza kutetemeka na hapo bado mepera mpera wenyewe ndiyo kwaanza unaanza.
Binafsi natabiri maamuzi magumu yatafanywa na gwajima ndio mgombea wa sisiemu kwa kawe ktk kiti cha ubunge. Ni lazima kuangalia anavyokubalika kwa wapiga kura wa jimbo sima sio pale kawe ndani ya sisiemu. Wakofanya mzaha mdee anachukua jimbo mapema tu.
 
Hili ni ombi kwa kamati kuu ya CCM kwamba hawa wote walioongoza kwenye kura za maoni mkoani Dsm wanachagulika mwezi October hivyo wasikatwe Tafadhali.

Mwezi October ni wazi kabisa majimbo yote yanavhukuliwa na CCM.

CCM hoyeeeee........!

Maendeleo hayana vyama!
TUKO NA CHADEMA YETU
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Shinyanga Mjini Steven Masele ameshinda kura za maoni na kupata kura 152 kati ya kura 426 Jonathan Manyama akipata kura 65 zikizopigwa huku Gasper Kileo akipata kura 51.


Jimbo la Kishapu Suleiman Nchambi kura 544 Francis Kapale kura 54. Boniphace Butondo kura 40

Matokeo kura ya maoni CCM Jimbo la Solwa wilayani Shinyanga 1) Ahamed Salum kura 377 2) Azza Hilal Hamad kura 304 3) Jeremia John Jiriri kura 35. Jumla ya Kura zilizopigwa ni 823 na hakuna kura iliyoharibika
Katambi katambishwa sio? Safi sana sana
 
Ila Mbogamboga kwenye hili la kuwachinjia baharini wale waunga juhudi wametisha sana..japo sijafurahishwa sana na Mollel kule Siha..
 
Back
Top Bottom