pasi padinde
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 281
- 299
Salamu. Naomba sasa tupate wasifu wa watia nia ambao sasa wameshinda kuteuliwa kwenye majimbo katika hatua za kwanza kura za maoni.
Kwanza napongeza kwasababu sura nyingi ni mpya lakini tunaomba kuwajua sasa.
Mfano
Jimbo la
Segerea
Ukonga
Kinondoni
Kawe
Mbagala
Na mengine wasifu wao.
Pili turufu kubwa sasa itakayowachefua toka majimboni ni hawa walio shindwa wakaletewa wengine ambao hawajashinda. Na ona kama watu watapiga kura za hasira.
Kwanza napongeza kwasababu sura nyingi ni mpya lakini tunaomba kuwajua sasa.
Mfano
Jimbo la
Segerea
Ukonga
Kinondoni
Kawe
Mbagala
Na mengine wasifu wao.
Pili turufu kubwa sasa itakayowachefua toka majimboni ni hawa walio shindwa wakaletewa wengine ambao hawajashinda. Na ona kama watu watapiga kura za hasira.