Musoma mjini
Mathayo kura 220 na juma mokiri kura 122
 
Kapuya huyuhuyu au?
Aah bwana huyu aachie ss
 
wazee wamechachamaa kura za maoni kuongoza

George mkuchika alizaliwa 1948 ana miaka 72 anataka apewe nafasi ya ubunge
Profesa Kapuya alizaliwa 1945 ana miaka 75 anataka apewe nafasi ya ubunge

Anyway lakini wazee wetu nao vizuri kukubali kupumzika umri umeenda sana wataenda kusinzia tu bungeni
 
Bulaya atapenya
Maboto si msaada ni mfanyabiashara huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…