Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Bahasha ya 5m unampa nani ? Na je mgombea unakua Peke yako ?

Kwa sababu wewe ukiweka 5m mgombea mwingine Ataweka 10m mwingine 4m wanaopokea ni hao hao wajumbe mwisho wa siku wote mtaliwa hela atapigiwa kura yule anaekubalika

Halafu nani mwenye uwezo wa kuhonga Kamati kuu?? Utakua hujipendi wewe

Yaan unampelekea Mangula,Polepole, Bashiru au Mwenyekiti Milion 5??

Hahahhaaa

Halafu pia maamuzi ya kamati kuu sio ya kupiga kura. Politburo ina taratibu zake na vyombo vyake ni mafaili tu hakuna kura
 
Siyo kuitunza bali naiishi na uhakika kwa 100%
Umeenda Mbeya hata mara moja katika hii miaka mitatu iliyopita? au unaishi kwa historia ya 2015?. kukubalika mitandaoni na watu ambao hata sio wapiga kura wako ndio kumewafelisha watu wengi. Hata kama Sugu ana nguvu Mbeya ila huwezi kubeza jitihada za huyo mama hata kidogo. Mwaka huu moto utawaka pale
 
Waliodondokea pua jana na leo Updates

Babu Tale Apeta Morogoro vijijini
*
*
Mwana FA Muheza Chalii kura 296 nafasi ya 2
Sipirian Musiba Chalii Mwibara
Kafulila Kigoma kusiniChalii
Katambi Kahama Chalii
Dk Issac wa Clouds Chalii Ubungo
Mwijaku kura 0 Chalii Kawe
Pascal Mayalla kura 1 Kawe mwa Jf mwenzetu
Dk Mashinji kura 2 Kawe
Askofu Gwajima 79 Kawe
Lijuakali Kilombero kura 5
Silinde Chaliii Tumduma
Dk Mwakyembe mwenye digrii 4 ( mzee ana dharau huyu kawakejeli wajumbe wameishia la saba) chalii kura 256, wa kwanza kura 750, Kyela
Zamaradi kura 2 Kinondoni
Kalapina kura 1 Kinondoni
Makonda Kigamboni Chalii
Kitwanga katwanga na Mnyeti huko Misungwi
Steve Nyerere Chali Iringa mjini kura 6
Mtulia Chali Kinondoni kura 11
Nassari chalii Arumeru Mashariki kura 22
Mpoki 0 Kigamboni
Lazaro chalii Arusha mjini
Mtolea Temeke Chalii
Kafulila Kigoma kusiniChalii
Katambi Kahama Chalii


Bado sijapata ya
Mc Pilipili




NB: Wale waliotoka upinzani na kuunga mkono juhudi wote wamedondokea pua [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siyo kwenda mbeya kwenye miaka mitatu, sema jana au juzi maana mbeya ndiyo nyumbani kwangu na miaka yote napiga kura.

Karibu sana hapa city pub utafune castle light na nyama choma ya mbuzi tusherehekee kupigwa kwa Bashite
Umeenda Mbeya hata mara moja katika hii miaka mitatu iliyopita? au unaishi kwa historia ya 2015?. kukubalika mitandaoni na watu ambao hata sio wapiga kura wako ndio kumewafelisha watu wengi. Hata kama Sugu ana nguvu Mbeya ila huwezi kubeza jitihada za huyo mama hata kidogo. Mwaka huu moto utawaka pale
 
Duh kwahiyo Dotto alikua kijiweni au??

Najaribu kupika kwamba mtu mpaka kuwa na uwezo wa kukamilisha mahitaji yako na kufinance kampeni ya dogo. Aliona potential kubwa sana
Hizi ni Stori za Mitaani Mkuu..
Pamoja na Kulwa kuwa vizuri na Dotto yupo vyema pia.. Kumbuka Dotto alianzia kwenye Bunge la Katiba.
 
Katika miaka yangu yote sijawahi kusikia watumishi wa umma wanaibiwa mishahara. Acha upotoshaji.
 
Back
Top Bottom