Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
Mzee nazeeka vibaya
eti anasema Bulaya alimwibia kura kuanzia juu mpaka chini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eti anasema Bulaya alimwibia kura kuanzia juu mpaka chini.
Nitatuma nikipataNaomba ya Ushetu Mkuu..
Shukrani.. Naomba unitag pls..Nitatuma nikipata
PouwaShukrani.. Naomba unitag pls..
1-Mwaka 2015 sugu alishinda kwa kura 97k dhidi ya 46k za Shitambala. Raia hawakua na imani na Shitambala baada ya Kusaliti kule Mbeya vijijini. kwa hizo asilimia 100 ulizompa sugu unadhani ushawishi wa Tulia ni mdogo kuliko wa Shitambala 2015?. Kama uko objective mkuu basi huwezi kusema Sugu atateleza huu Mwaka,Siyo kwenda mbeya kwenye miaka mitatu, sema jana au juzi maana mbeya ndiyo nyumbani kwangu na miaka yote napiga kura.
Karibu sana hapa city pub utafune castle light na nyama choma ya mbuzi tusherehekee kupigwa kwa Bashite
Sio ndugu tu ni mapacha
Mdogo Dotto ni waziri naona kamsaidia Braza kumng'oa mama wa watu Lorencia Bukwimba wakale keki ya taifa pamoja
View attachment 1513010
Hata John Heche anakibarua kipevu sana.Mwita Waitara ana kibarua pevu sana hapo Tarime vijijini, yetu macho na masikio. Hilo jimbo naona kama CCM hawana interest nalo sana!!
Asante kwa taarifa!
Ndo nilikuwa namtafuta huyu Annaclare Shija,aliacha ukuu wa wilaya au mkoa (sikumbuki vzr)
Yamemkuta sasa!
Ni kweli mkuu ila bado ana advantage dhidi ya Waitara, kwani pia ule upepo wa kisiasa uliombeba 2015 haupo tena ila Waitara kutoboa bado ni mtihani. October si mbali sana tuombe uhai tu.Hata John Heche anakibarua kipevu sana.
Vipi wewe mbona huweki ya babu Tale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maana ulikuwa unasumbuka sana kutaka kujua matokeo yake.
Hapa tunazungumzia uchaguzi wa 2020, tarehe 29/10/2020 tunaweza tukawa tunacheka au kulia hapa.Acha upopoma Sugu ndio mbunge aliyepata kura nyingi kuliko yeyote tz uchaguzi wa 2015
Waitara atashinda kihalali kabisaNi kweli mkuu ila bado ana advantage dhidi ya Waitara, kwani pia ule upepo wa kisiasa uliombeba 2015 haupo tena ila Waitara kutoboa bado ni mtihani. October si mbali sana tuombe uhai tu.
Very balanced and measured opinion.Ni kweli mkuu ila bado ana advantage dhidi ya Waitara, kwani pia ule upepo wa kisiasa uliombeba 2015 haupo tena ila Waitara kutoboa bado ni mtihani. October si mbali sana tuombe uhai tu.