Na wakatwe tu,,naunga mkono hoja
 
God Father wake amerudi kwenye siasa za Tanzania ingawa si mstari
 
Yeye hajahonga. Hela angetoa wapi wakati alikuwa jobless for five years!
 
Hatimaye huyu dogo amerejea tena. Ameshinda kura za maoni jimbo la Ukonga. Tumuombee ili mwenye kisirani asije akakata jina lake.

Tulimmiss sana huyu bwana mdogo.

Mfumo wa sasa haumtaki Jerry nahisi kuna alilomfanyia ' Mwenye Chair ' ambalo pengine wengi Wetu hatulijui kwani Jamaa ' Hathaminiwi ' kabisa.
 
Hatimaye huyu dogo amerejea tena. Ameshinda kura za maoni jimbo la Ukonga. Tumuombee ili mwenye kisirani asije akakata jina lake.

Tulimmiss sana huyu bwana mdogo.
Bashite angegombea ukonga angeshinda labda Kama aliwaogopa wakurya wa chadema
 
Safari hii naona wote Kurwa na Doto wote bungeni 1[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Safari hii atavunja mwiko!
HAIWEZEKANI LABDA BUDA AKIVUTA, sisi huku Upareni tunajua hilo. Buda vifaranga wake wanamtii 100% walioko ndani ya nchi Mabalozi na walioko nje. Wapare wenzangu humu wanaweza pia kutoa michango yao. Mimi naishi Kirongwe na asubuhi tulizungumzia hilo nikiwa Lembeni kote huko ni Mwanga na tulikuwa na maoni yanayo fanana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…