Kwani hao wazee waislam ndio wanaopiga kura peke yao? au wao ndio wasimamizi wa uchaguzi? Nini kimepelekea hadi kuingiza udini katika hili? au ni chuki zako tu kwa waislam?
Kasome vizuri historia ya nchi hii ujue mchango wao na jinsi walsivyokuwa na uchu wa madaraka ila wanapenda haki.
 


Kigoma Mijini waislam ni wengi kwa maana hiyo wao ndiyo waamuzi wa nani awe mbunge.

Ni Kama Zanzibar. Pale Mkristo akigombea hawezi kushinda.

Kwa hiyo usitoe povu sana wakati mwenzako kasema ukweli
 
Mkuu macho na masikio yangu yapo Siha kwa sasa, natumai moleli atarudi kwao kuchunga ng'ombe na ndugu yetu Mwandri kupewa idhini ya kulitetea jimbo
Acha kujidanganya mkuu. Mbunge mstaafu na mapesa kibao ya pensheni tena ni daktari anaanzaje kuchunga ng'ombe?
 
Kigoma Mijini waislam ni wengi kwa maana hiyo wao ndiyo waamuzi wa nani awe mbunge.

Ni Kama Zanzibar. Pale Mkristo akigombea hawezi kushinda.

Kwa hiyo usitoe povu sana wakati mwenzako kasema ukweli
Kwani wao ndio wasimamizi wa uchaguzi mkuu? maana kasema wazee wa kiislam, ni kwa vipi wao ndio waamue? mbona moshi na mbeya wakristo ni wengi so kwanini isiwe wazee wa kikristo ndio waamuzi maeneo hayo na sio tume?
Tatizo ni kuwa waislam wanaandamwa sana hasa sababu ya dini yao hata kama waislam hao sio wenye kutekeleza huo islam.
So, sehemu zenye wakristo wengi, wakimchagua mkristo, nao ni udini?
 


Inaonekana huna exposure ya kutosha kujua desturi za sehemu husika.

Mfano Moshi ni Wakristo. Ila kinachoamua ni nani awe Mbunge ni mgombea kuwa mzawa wa asili wa eneo husika.

Akiwa muislamu hawezi kushinda labda awe na msimamo wa wastani na pia eneo husika kuwe na waislamu wengi na wasabato mfano same na mwanga
 
Huu mchakato wa CCM una kasoro yaani uchukuwe fomu halafu hakuna campaign; huo ushawishi wa kupigiwa kura unatokana na nini.

Uchaguzi wa namna hii unapendelea incumbencies na watu almaarufu; wengine ni wasindikizaji tu.
 
Ubungo Prof Kitila hakubaliki?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…