BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Makonda,Mnyeti IN.Walioko huko watupe picha Betty ya joto lilivyo, Mbeya, Kigamboni, Arusha, Misungwi nk japo mie nabashiri vinara kuwa nje ya tatu bora.
Kwani hao wazee waislam ndio wanaopiga kura peke yao? au wao ndio wasimamizi wa uchaguzi? Nini kimepelekea hadi kuingiza udini katika hili? au ni chuki zako tu kwa waislam?Waziri wa Fedha Dr. Mpango anakabiliana na mhe. Obama mbunge anayetetea kiti hicho jimbo la Buhigwe. Kasulu mjini ni waziri wa Elimu Prof.lJoyce Ndalichako dhidi ya Daniel Nsanzugwako mbunge anayetetea jimbo hilo. Dr Mpango anatokea eneo lililo pembeni mwa jimbo hilo na lenye wakazi wachache huku Obama akiwa mzaliwa wa Manyovu upande wenye wakazi wengi. Kwa upande wa Ndalichako huyu amekulia na kusomea Kigoma mjini japo asili
yao in Kasulu mjini. Awali alikuwa agombe Kigoma mjini lakini akakimbilia Kasulu baada ya kuona jimbo hilo uamuzi wa kuwa mbunge huamliwa na wazee wa Ujiji ambao ni waislamu.
Kwani hao wazee waislam ndio wanaopiga kura peke yao? au wao ndio wasimamizi wa uchaguzi? Nini kimepelekea hadi kuingiza udini katika hili? au ni chuki zako tu kwa waislam?
Kasome vizuri historia ya nchi hii ujue mchango wao na jinsi walsivyokuwa na uchu wa madaraka ila wanapenda haki.
Acha kujidanganya mkuu. Mbunge mstaafu na mapesa kibao ya pensheni tena ni daktari anaanzaje kuchunga ng'ombe?Mkuu macho na masikio yangu yapo Siha kwa sasa, natumai moleli atarudi kwao kuchunga ng'ombe na ndugu yetu Mwandri kupewa idhini ya kulitetea jimbo
Na nyamagana kuna mziki huku wakuuTarime vijijini ni kesho
Huko Nyamagana kuna mgombea amegawa 50,000/= kwa wapiga kura zaidi ya 600. Washindani wake wataambulia vumbi tu.Ilemela na Nyamagana napo si haba!
Kwani wao ndio wasimamizi wa uchaguzi mkuu? maana kasema wazee wa kiislam, ni kwa vipi wao ndio waamue? mbona moshi na mbeya wakristo ni wengi so kwanini isiwe wazee wa kikristo ndio waamuzi maeneo hayo na sio tume?Kigoma Mijini waislam ni wengi kwa maana hiyo wao ndiyo waamuzi wa nani awe mbunge.
Ni Kama Zanzibar. Pale Mkristo akigombea hawezi kushinda.
Kwa hiyo usitoe povu sana wakati mwenzako kasema ukweli
Sijui Nape mlamba soli Ila January alipoona ubatizo wa Moto alioutangaza babake kwa wapinzani alitangaza hatagombeaHivi nape na January makamba hawajatia nia kwenye majimbo yao!?
Kwani wao ndio wasimamizi wa uchaguzi mkuu? maana kasema wazee wa kiislam, ni kwa vipi wao ndio waamue? mbona moshi na mbeya wakristo ni wengi so kwanini isiwe wazee wa kikristo ndio waamuzi maeneo hayo na sio tume?
Tatizo ni kuwa waislam wanaandamwa sana hasa sababu ya dini yao hata kama waislam hao sio wenye kutekeleza huo islam.
So, sehemu zenye wakristo wengi, wakimchagua mkristo, nao ni udini?
Ubungo Prof Kitila hakubaliki?!Moshi vijijini Kuna Ester Mmassy na Victor Tesha ambao watachuana vikali. Wengine hawana nguvu.
Ubungo yupo Emmanuel Maluli huyu ni Katibu wa Hamasa kata ya Makuburi.
Mwingine ni Cypirian Mrema ambaye Ni mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Ubungo.
Pia yupo Kitila Mkumbo. Wengine siwajui