Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Inaonekana huna exposure ya kutosha kujua desturi za sehemu husika.

Mfano Moshi ni Wakristo. Ila kinachoamua ni nani awe Mbunge ni mgombea kuwa mzawa wa asili wa eneo husika.

Akiwa muislamu hawezi kushinda labda awe na msimamo wa wastani na pia eneo husika kuwe na waislamu wengi na wasabato mfano same na mwanga
Kwahiyo tume haina nafasi? Halafu, ni wakristo wote au wazee wa wakristo? maana naweza nikawa mkristo na nikampigia kura yule ninayemtaka tofauti na mawzo ya wazee? Jamaa anasema wazee wa kiislam ndio wanao amua, sasa sijui matakwa ya myu mmoja mmoja yapo wapi? what if wazee wapo 20 na sisi tupo 100, yukapiga kura tofauti na wazee wanavyotaka, je kura zetu hazihesabiwi na tume? au tume wanawasikiliza wazee wanachotaka?
 
Ndugulile anaweza pata kura za huruma sababu katumbuliwa na juzi kafiwa na baba yake hivyo wanachama wanaweza muonea huruma wakampitisha.
Kuna wabunge wengine kama hawapo ville,me ndo nimeskia juzjuzi wakat wa Corona kuwa jamaa ndo wa kigamboni
 
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.

Kura za maoni kwa wabunge wa tiketi ya CCM zinaanza kupigwa leo lakini watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali.

Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.

Ngoja tuone.

Up dates:

Maendeleo hayana vyama!
[/QUOTE]
Kangi
Gambo
Mathayo David
OUT!!!!!!
 
Back
Top Bottom